i think
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 361
- 72
Kama miaka mitatu katika jiji la Mwanza walikozaliwa na kukulia ndipo mahusiano yao yalianza. Wakawa wanapendana kwa dhati, mwanaume akijua kapendwa na mwanamke chaguo la moyo wake.
Siku zikasonga wakashibana katika kuongea mambo yao ya mapenzi siku wakaamua kuanza kutaja neno ukweli kisha kitu ambacho hujawahi kumwambia mwenzako maisha yote.
Lakini kubwa mwanaume alichanganykiwa alipoambiwa na mwanamke wake ukweli sikuchukii sana na wala sikupendi sana na sababu ya kutokuchukia hukunibaka wakati wa kutoa bikra yangu na sababu ya kutokupenda sana ulshindwa kusubiri hukuwa na subira tukasexy nikapoteza bikra mapema.
Je huku kidume kina haki ya kupata presha kwa hili
Siku zikasonga wakashibana katika kuongea mambo yao ya mapenzi siku wakaamua kuanza kutaja neno ukweli kisha kitu ambacho hujawahi kumwambia mwenzako maisha yote.
Lakini kubwa mwanaume alichanganykiwa alipoambiwa na mwanamke wake ukweli sikuchukii sana na wala sikupendi sana na sababu ya kutokuchukia hukunibaka wakati wa kutoa bikra yangu na sababu ya kutokupenda sana ulshindwa kusubiri hukuwa na subira tukasexy nikapoteza bikra mapema.
Je huku kidume kina haki ya kupata presha kwa hili