Sikuachana nae vizuri


duh 8 yrs... mlishakua ndugu nyie.. hivi wewe ukipata dem mwngne kwel utampenda?
 
naboeka hum hakuma button ya LIKE jmn... admin pliiiiiiiz... we acha tabia za kikuma embu tchaaaaaaa. unataka ukakute dume mwenzio chumban kwako naona wewe
 
Dah! We jamaa wewe tatizo unaumia sababu ulikimbilia huyu mtoto kwa pupa hata humjui madai yako eti unamkomoa flani. Na pete juu, kumbe mwenzako Hall 3 sijui seven ana mtu. Skiliza nikwambie hata siku moja usianzishe mapenzi eti kumkomoa flani na status Facebook mnaweka in relationship with haya sasa. Alafu ulimzushia sana yule dada wa watu akakusamehe umeona karma anavyokurudia kumbe inauma kusingiziwa eenh!
 
ni kawaida sanah kumkumbuka na 7bu mazoea yalikuwepo lazma utammiss sanah till umsahau.....
Haya mambo ya kumiss miss maex hata sio ishu
si nzuri kwa afya ya mahusiano yaliyopo
sipendi hata kuwawaza maex mie
 

Malaya ni Malaya tu. Move on. Tafuta mwanamke mwingine. Achana nae.
 
Ungekuw karibu ninge kutia mabanzi uache ujinga wako kwan! Uyo mwanamke ni mama yako toa ufala hapo find another1 km uwezi sema nikupe coz ninao kibao!
 
naboeka hum hakuma button ya LIKE jmn... admin pliiiiiiiz... we acha tabia za kikuma embu tchaaaaaaa. unataka ukakute dume mwenzio chumban kwako naona wewe

Jaman sa matusi tena yanini kwanini mnatudhalilisha wanawake hivyo kwann hamtaji viungo vyenu mnavisema wakati ndio vimewaleta duniani mnapata wapi ujasiri huo... sipendi sana watu wa aina hii!!!
 
Jaman sa matusi tena yanini kwanini mnatudhalilisha wanawake hivyo kwann hamtaji viungo vyenu mnavisema wakati ndio vimewaleta duniani mnapata wapi ujasiri huo... sipendi sana watu wa aina hii!!!
oops sorry i withdraw my bad words.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…