Siku zinakaribia

Darwin

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2008
Posts
908
Reaction score
61
Ndo siku zinayoyoma na ile siku inakaribia.

Swali kwa serikali.

Je ni kina nani wamesharudisha pesa za EPA?

Je ni kina nani hawajarudisha?

Je ni kiasi gani kimerudishwa na kilichobaki ni kiasi gani?

Au ndio tumepozwa kama watoto wadogo wanaolia nakupewa pipi na wazazi ili tunyamaze?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…