SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,802
Kama taifa tunapaswa kuwa na siku za usafi za kitaifa ambazo wananchi bila kujali itikadi tutafanya usafi maeneo yote ya wazi na sehemu za makazi/biashara. Tukumbushane tulikubaliana siku za usafi ziwe lini Kitaifa?