PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
Katika harakati za kumpata Diwani kata ya Mjimwema katika Halmashauri ya Njombe zimeanza leo, ambapo kundi la kumnadi mgombea wa CCM pamoja kwamba limepita mitaani ndani ya nguo zao kijani limeonekana kudorola kwa kukosa watu wakuwaunga mkono na kuzomewa kila kona na wananchi.
Wakati huohuo Mgombea wa CHADEMA akiungwa mkono na utitiri wa watu kiasi kwamba dalili zote zina ashiria kuwa kura zote zitaenda kwa mgombea huo.
Wakati huohuo Mgombea wa CHADEMA akiungwa mkono na utitiri wa watu kiasi kwamba dalili zote zina ashiria kuwa kura zote zitaenda kwa mgombea huo.