Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Naphtali Bernard Ng’ondi Kamishna Ustawi wa Jamii, Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wazee na Watoto amesema mwaka huu maadhimisho hayo yatafanyika kimkoa
watazungumzia ustawi wa wazee na kutoa huduma za wazee kuchunguza afya zao na kupata matibabu
Wizara ya Afya itashiriki maadhimisho hayo Kondoa, mkoani Dodoma
Maadhimisho yanatokana na azimio la umoja wa mataifa namba 45/106 la 1990 iliazimiwa nchi wanachama kuazimisha siku hii kuzungumzia masuala mbalimbali ya wazee ikiwemo usatawi haki na ulinzi wa wazee
Mafanikio ya kujivunia kwa mwaka huu
Afya.. utaratibu wa kuweka kipaumbele kwa wazee wakiwa kwenye sehemu za kupewa huduma
Kuongeza idadi ya wazee amba wametambuliwa na kupatiwa vitambulisho vya matibabu bure kwa wazee wasio na uwezo
2019, harakati za kutokomeza mauaji ya wazee, mauaji yamepungua.. 5 yrs ago mauaji yalikuwa takriban 500, mwaka jana mauaji 74
Huduma za makazi, makazi 13 ya wazee, kwanza kujenga makazi mapya na ukarabati katika baadhi ya makazi.
watazungumzia ustawi wa wazee na kutoa huduma za wazee kuchunguza afya zao na kupata matibabu
Wizara ya Afya itashiriki maadhimisho hayo Kondoa, mkoani Dodoma
Maadhimisho yanatokana na azimio la umoja wa mataifa namba 45/106 la 1990 iliazimiwa nchi wanachama kuazimisha siku hii kuzungumzia masuala mbalimbali ya wazee ikiwemo usatawi haki na ulinzi wa wazee
Mafanikio ya kujivunia kwa mwaka huu
Afya.. utaratibu wa kuweka kipaumbele kwa wazee wakiwa kwenye sehemu za kupewa huduma
Kuongeza idadi ya wazee amba wametambuliwa na kupatiwa vitambulisho vya matibabu bure kwa wazee wasio na uwezo
2019, harakati za kutokomeza mauaji ya wazee, mauaji yamepungua.. 5 yrs ago mauaji yalikuwa takriban 500, mwaka jana mauaji 74
Huduma za makazi, makazi 13 ya wazee, kwanza kujenga makazi mapya na ukarabati katika baadhi ya makazi.