Siku ya wanawake Duniani?

Siku ya wanawake Duniani?

African men hatujaweza kuendesha nchi tangu tupate uhuru miaka 60 iliyopita. Miaka yote sis ni watu wa kutembeza mabakuli kwa wanaume wa mabara mengine..
Leo Arusha wenzako wamekata viuno barabarani mchana kweupe, wote tulioshuhudia tukasema hewalaa, sherehe hii iongezewe siku ili walau iwe mara mbili kwa mwaka
 
African men hatujaweza kuendesha nchi tangu tupate uhuru miaka 60 iliyopita. Miaka yote sis ni watu wa kutembeza mabakuli kwa wanaume wa mabara mengine..
Bro usituingize wote kwenye kapu,ni hasa hao mama zako ndiyo viherehere wakuwachagua wanaume unaowamaanisha hapa tena kwa kipande kimoja cha khanga.
 
Hii siku ni kwa baadhi ya wanawake wapiga dili wa mjini, wanaoitumia siku hii kujinufaisha kiuchumi, nazungumzia kwa Tanzania, sijui kwa nchi nyingine.
 
Bro usituingize wote kwenye kapu,ni hasa hao mama zako ndiyo viherehere wakuwachagua wanaume unaowamaanisha hapa tena kwa kipande kimoja cha khanga.
Hivi lile li Mtulia lililohamia fisiemu na lile lingine la siha ni wanawake wale?

Huon kitendo chao kimetuabisha wanaume.


Msimamo wangu ni huu sikukuu ya wanaume kama ipo au ya wanawake ni upuuzi tu.
 
Back
Top Bottom