mnavira
Member
- Apr 11, 2014
- 22
- 13
Kufuatia sherehe ya Wanawake Leo 8.3. Nilijaribu kuhoji baadhi ya wanawake mambo yafuatayo:
Kama wanatambua kuna sikukuu leo?
Kauli Mbiu ya mwaka huu? Wanajivunia mafanikio gani katika Siku hii?
Wanasherehekea kwa lipi?
Sababu ya sherehe?
Nani anatakiwa kuwakomboa!
NASIKITIKA WENGI HAWAKUWA NA MAJIBU!!!! JE WADAU KWA MTAZAMO WENU SIKUKUU HII INA MCHANGO UPI KWA JAMII?
Kama wanatambua kuna sikukuu leo?
Kauli Mbiu ya mwaka huu? Wanajivunia mafanikio gani katika Siku hii?
Wanasherehekea kwa lipi?
Sababu ya sherehe?
Nani anatakiwa kuwakomboa!
NASIKITIKA WENGI HAWAKUWA NA MAJIBU!!!! JE WADAU KWA MTAZAMO WENU SIKUKUU HII INA MCHANGO UPI KWA JAMII?