Hii ni bab kubwa. Hahahaha ha kuna jamaa alikua chumba cha jirani yangu siku alivyooa usiku akapiga kelele watu tukaamka kumuuliza kulikoni akasema hamna kitu.
Basi kutokana na uswahiba tulionao asubuhi ikabidi nimuhoji vizuri daah akaniambia amezoea kulala mwenyewe hasa usiku alivyoamka kuona kuna mtu kitandani akashtuka akajikuta amepiga makelele!!
Huyo alikuwa mwehuu kwani tangia azaliliwe huwa analala peke yakeeha ha kuna jamaa alikua chumba cha jirani yangu siku alivyooa usiku akapiga kelele watu tukaamka kumuuliza kulikoni akasema hamna kitu.
Basi kutokana na uswahiba tulionao asubuhi ikabidi nimuhoji vizuri daah akaniambia amezoea kulala mwenyewe hasa usiku alivyoamka kuona kuna mtu kitandani akashtuka akajikuta amepiga makelele!!
hahahahhahaha kuna kabila la wangoni kama ntakua sjakosea bibi harusi akishaolewa akipelekwa kwake anapiga got kuingia ndani ya nyumba akisindikizwa na wake wenza (wake za mashemeji zake) makabila mengine mabinam za bb harusi hawapishi maharusi wakapita mlangoni siku ya ndoa mpaka wapewe pesakuna makabila mengine babu harusi anapigwa bakora za kukaribishwa kwenye family