Siku ya kulipoti

Siku ya kulipoti

kwa UDSM na mataw yake ni tarh 31.10...lakn agzo la serkal ni kuanzia tarh 2.11
 
Kulipoti=kuripoti

BTT...Kila chuo kina tarehe yake.Mathalani Bugando wanaripoti tarehe 26th October na Muhimbili tarehe 2nd November.

Hivyo basi ni vyema ukasema chuo chako uambiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom