Siku moja watasimulia ...!

Kilichofunikwa pale karibu na binslum mtaa wa lumumba kilikuwa mavi yako uliyokuja kisha ukafunika na shuka?
Mpumbavu ni wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si vema kuombea nchi mabaya, tutakiane kheri na baraka , huku tukiendelea kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni bila kusahau kuvaa barakoa...
Ramadan Mubarak
Haya ni matokeo ya kujua kila kitu, kudharau wengine na kujawa na kiburi cha uzima.
Unafikiri watu hawatasubiri upatikane na mabaya wafurahi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfia nchi?
Huoni watu wanakufa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia nzima inajua mpumbavu ni nani! Na wanao mshangilia kama wewe ni kwasababu huna shule! You don't have tools of analysis to view matters in the right way! Poor you and Jiwe.
 
Halafu kuna jitu linasema hakuna vifo na Corona eti haiui ungekuwa ni Amri yangu wanaosema hivi ningewaondoa fasta na kwa maumivu sana
 
Mbona maiti mbili tayari zimeokotwa!?
Au ulitaka maelfu ya maiti wakat wew bado unaishi?
Tunasubiri na wew ufe maan n lazima ufe mwaka huu
 
Kama atarudisha zile 1.5T, bas hayo yatasemwa
 
Dunia nzima inajua mpumbavu ni nani! Na wanao mshangilia kama wewe ni kwasababu huna shule! You don't have tools of analysis to view matters in the right way! Poor you and Jiwe.
Dunia nzima ya wapi?, Kinondoni mtaa wa ufipa??
 
Kupata vituko hivi bonyeza # unakutana praise timu
 
Kati ya makosa tuliyowahi kufanya nchi hii ni kumchagua mtu huyu. Sipendi ukabila ila nawaelewa watu hawa vizuri huwa hawajali maisha ya mtu kabisa mtu kufa ni sawa na kufa ng'ombe tu. Jamani tuwe makini mno! Wataumbuka sana.
 
Halafu kuna jitu linasema hakuna vifo na Corona eti haiui ungekuwa ni Amri yangu wanaosema hivi ningewaondoa fasta na kwa maumivu sana

haya majitu yamelewa madaraka


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Si vema kuombea nchi mabaya, tutakiane kheri na baraka , huku tukiendelea kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni bila kusahau kuvaa barakoa...
Ramadan Mubarak
kweli mkuu umeongea jambo la msingi.maana hapa JF nyuzi kibao ni kutishana mara tumekwisha,mara tutaanza kuokota maiti barabaran n.k
kila mtu sahv anafahamu madhara ya huu ugonjwa na tahadhar za kuchukua,kwahyo tusitishane muhimu ni kukumbushana kuchukua tahadhari
 
Nzi wa kijani watakuja hapa kukubishia...
 
Hakuna anayeomba yatokee ila upumbavu unaoendelea ndio utatufikisha huko.
 
Si vema kuombea nchi mabaya, tutakiane kheri na baraka , huku tukiendelea kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni bila kusahau kuvaa barakoa...
Ramadan Mubarak
Hili ndo Jibu linalotakiwa!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…