Siku mbili tu anadai ana mimba yangu

hahah napenda story za hivi ila daa siopoa eti "Nataka nimpelekee zawad ya juice iliyo na vikorombwezo vya kuitoa hiyo mimba. Mimi ni pharmacist" ilahapokwenye mitusi demu anaonekana naye msaniisiklu yapili eti siku zangu huo ujinga yani ina maana hujielwe inahtaji elimu ya ufahamu tu....yani mh huyo msaniiii af unatishiwa hahahaha ukilegea ataona umeingia kiki kama wewe unajielewa panguavitisho sio kuichoropoa...kuhusu mchumba wakokujua acha ajue maana tunavuna tulichopanda
 
Acha roho ya uuaji,,wakati unamwaga shahawa zako ulijua unamimina majani ya chai kwenye birika la chai?????vuna ulichopanda,,,wewe mpe hiyo juice ya kutoa mimba lakin cku ukipata mtoto wa kike wanaume wenzio watamtoa mimba kwa spoku ya kupikia vitumbua,,malipo ni hapahapa duniani,,,pimbi wewe
 
Kweli vyuo siku izi vinazalisha vilaza, pharmacist unashangaa mimba kuingia siku moja !!!!! lol
Wewe na walio wemgi ndio vilaza viwango vya nursery, pharmacist anashangaa mtu kutoona siku zake ndani ya siku mbili baada ya kumbutua, assume mimba imeingia siku ya 14, mtu huyu tunaexpect asione siku zake baada ya siku 14 mbele yani siku ya 28....

Kutoelewa ni moja ya njia ya kuelewa
 
Kweli vyuo siku izi vinazalisha vilaza, pharmacist unashangaa mimba kuingia siku moja !!!!! lol
Labda alisomea chini ya muembe,,,yaani huyu kaka ni punguani ndo wale wanaofanya upasuaji wa kichwa kwa mgonjwa anaeumwa mguu,,,nyambaf,,,,alipokuwa anasikia utamu hakujua madhara hadi anakiri kabisa kwamba alitoka saa kumi na mbili ameshiba,,,yaani huyu ni jipu
 
Anakujaribu tu kupima msimamo wako mkuu, hamna mimba inayoonekana siku ya pili baada ya kumgegeda, quite impossible.
Sema uzembe wako ni kupewa warning kwamba yupo kwenye danger ukapuuzia halafu matokeo ya aliyokutahadharisha unayakataa pia. Poor u.
 
Mkuu bana!Mimba ni dakika tu inaingia
Kama mlifanya kavu kavu na kama demu alikua kwenye siku zake za mimba hiyo ni yako
 
msomi mzima siku ya shore hamjuani siku ya kwanza tu unamkaza mbaya zaidi "dry chama"
 
Nataka nimpelekee zawad ya juice iliyo na vikorombwezo vya kuitoa hiyo mimba. Mimi ni pharmacist.
Moderator , hebu fanyeni hii thread iwe not editable. Sooner or later tukisikia kuna msichana mwenye ujauzito amefariki baada ya kunywa juice basi Koplo Ngonyani aanzie hapa! Kukojoa mnataka lakini tunda kuu la kukojoa hamtaki!
 
Siku mbili binti kujua ana mimba, subiri DNA nina wasiwasi unabebeshwa zigo la chumvi, angalau bint angesubiri hata wiki ndio akueleze ningeelewa
 
ahsante kwa kumwelewesha
 
Ina maana hivi huyu mtu kamgegeda siku mbili ni kweli mimba inaweza kuingia lkn siku zake hajaziona ndani ya siku mbili au alikupa mrejesho baada ya wiki mbili mana ninachojua turejee kwenye menstruation cycle yake.alikuambia yuko danger lkn hakuona period yake baada ya mda gani?
 
nimemgegeda cku mbili mfululizo, cku ya tatu anasema ana mimba yangu. inaingia akilini?
 
To be continued linii...........................?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…