SIKU KAMA YA LEO:
Inshallah siku kama ya leo itakuwa Oct 25, siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa sana na kila mmoja wetu.
Siku kama ya leo nitamaliza kero ya maji mtaani kwetu
Siku kama ya leo nitapata pembejeo za kilimo kwa bei nafuu haijapatapo tokea
Siku kama ya leo nitaanza kilimo cha umwagiliaji kitakachotimiza ndoto zangu kwenye kilimo
Siku kama ya leo nitamaliza kilio cha ufisadi nchini kwa kua nitajenga mahakama maalum itakayowashughulikia
Siku kama ya leo nitajenga vyuo vikuu vipya viwili, cha kilimo Butiama na cha madini Shinyanga
Siku kama ya leo nitakwenda kuing'oa na kuitupilia mbali mifumo mibovu ya serikali na Chama Tawala kwa kumuweka madarakani mchapakazi na mwana mabadiliko ya kweli.
Siku kama ya leo ntaenda kuchukua milioni 50 za mkopo wa vijana na wanawake wa mtaani kwangu ili niuage umasikini.
Siku ya kama ya leo nitafuta ada na michango yote ya wanafunzi kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.
Siku kama ya leo nitajenga zahanati pale kijijini kwetu ili bibi asiende umbali mrefu kutafuta huduma za afya.
Siku kama ya leo nitajenga kituo cha afya kwenye kata yangu ili wanawake wapate huduma nzuri za uzazi za karibu na haraka.
Siku kama ya leo nitajenga hospitali ya wilaya na kuijaza vifaa tiba vya kisasa.
Siku kama ya leo ndiyo mwisho wa kununua dawa kwenye duka la madawa pale jirani na hospitali.
Siku kama ya leo ndiyo itakuwa mwisho wa kwenda Muhimbili kupata huduma kwa kuwa hospitali ya rufaa itakuwa kwenye makao makuu ya mkoa wangu.
Siku kama ya leo nitapata ajira niliyoisotea kwa muda mrefu baada ya kufunguliwa kile kiwanda kilichokufa baada ya kubinafsishwa.
Siku kama ya leo nitaondoa kodi zote zinazomsumbua mama angu, mama ntilie na kaka angu bodaboda.
Siku kama ya leo mishahara na maslahi ya watumishi wa umma itaboreshwa na kuwafanya waishi maisha mazuri.
Siku kama ya leo babu na bibi yangu wataanza kupokea posho za kujikimu kila mwisho wa mwezi.
Siku kama ya leo nitaenda kupiga kura.
Siku kama ya leo nitamstaafisha siasa Yule fisadi papa liyelitia hasara taifa letu.
Siku kama ya leo nitaenda kupiga kura.
Siku kama ya leo nitamchagua kiongozi mpya muadilifu na mchapakazi.
Siku kama ya leo nitamchagua John Pombe Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Inshallah siku kama ya leo itakuwa Oct 25, siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa sana na kila mmoja wetu.
Siku kama ya leo nitamaliza kero ya maji mtaani kwetu
Siku kama ya leo nitapata pembejeo za kilimo kwa bei nafuu haijapatapo tokea
Siku kama ya leo nitaanza kilimo cha umwagiliaji kitakachotimiza ndoto zangu kwenye kilimo
Siku kama ya leo nitamaliza kilio cha ufisadi nchini kwa kua nitajenga mahakama maalum itakayowashughulikia
Siku kama ya leo nitajenga vyuo vikuu vipya viwili, cha kilimo Butiama na cha madini Shinyanga
Siku kama ya leo nitakwenda kuing'oa na kuitupilia mbali mifumo mibovu ya serikali na Chama Tawala kwa kumuweka madarakani mchapakazi na mwana mabadiliko ya kweli.
Siku kama ya leo ntaenda kuchukua milioni 50 za mkopo wa vijana na wanawake wa mtaani kwangu ili niuage umasikini.
Siku ya kama ya leo nitafuta ada na michango yote ya wanafunzi kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.
Siku kama ya leo nitajenga zahanati pale kijijini kwetu ili bibi asiende umbali mrefu kutafuta huduma za afya.
Siku kama ya leo nitajenga kituo cha afya kwenye kata yangu ili wanawake wapate huduma nzuri za uzazi za karibu na haraka.
Siku kama ya leo nitajenga hospitali ya wilaya na kuijaza vifaa tiba vya kisasa.
Siku kama ya leo ndiyo mwisho wa kununua dawa kwenye duka la madawa pale jirani na hospitali.
Siku kama ya leo ndiyo itakuwa mwisho wa kwenda Muhimbili kupata huduma kwa kuwa hospitali ya rufaa itakuwa kwenye makao makuu ya mkoa wangu.
Siku kama ya leo nitapata ajira niliyoisotea kwa muda mrefu baada ya kufunguliwa kile kiwanda kilichokufa baada ya kubinafsishwa.
Siku kama ya leo nitaondoa kodi zote zinazomsumbua mama angu, mama ntilie na kaka angu bodaboda.
Siku kama ya leo mishahara na maslahi ya watumishi wa umma itaboreshwa na kuwafanya waishi maisha mazuri.
Siku kama ya leo babu na bibi yangu wataanza kupokea posho za kujikimu kila mwisho wa mwezi.
Siku kama ya leo nitaenda kupiga kura.
Siku kama ya leo nitamstaafisha siasa Yule fisadi papa liyelitia hasara taifa letu.
Siku kama ya leo nitaenda kupiga kura.
Siku kama ya leo nitamchagua kiongozi mpya muadilifu na mchapakazi.
Siku kama ya leo nitamchagua John Pombe Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania