Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Binamu punguza spidi kidogo, wenzio tulishawahi.
heheheh!shemasi mbona kule umemkaribisha monicam nimekuachia?naomba basi uniachie dadaake pj,au?
Binamu punguza spidi kidogo, wenzio tulishawahi.
heheheh!shemasi mbona kule umemkaribisha monicam nimekuachia?naomba basi uniachie dadaake pj,au?
Lol! Haya bana, kizuri kula na nduguyo. Mpe hi shem wetu PJ. Najua itamuuma lakini atakuwa hana jinsi mchuchu ukikubali.
hahaha!
mkuu shemasi unajua nin,MWENYE DADA HAKOSAGI SHEMEJI!mbona na yeye anatuharibia dada zetu?
Afu inavyoonyesha PJ kabarikiwa. Dada zetu wanaipata habari yao, sema inakuwa siri yao.
una maanisha kwamba pj ana miguu mitatu,ni kilema huyu bwana au sio?
Nimemuuliza Pretty kama ni Male or Female wewe tuliza mzuka
Mie female shosty, ila napenda kufanya mazoezi ya kujog mpenzi wangu. Kama uonavyo picha yangu inajieleza hapo.
Mwanamke mazoezi.
Acha mivivu na wewe kama unae dada si achia namba watu wajaribu bahati au na we bado upo kwenye kuchunga nini? 911 hata bongo inatumika? Achia kitu +255...
Nikubali nisikubali bado watamega tu kama yupo..Lol kwa hiyo we wakubali ur dada amegwe?? huku unaona!!
kila siku huwa najiuliza....mbona siku hizi watu hawachungi dada zao?????
yaani sisikii wala kuona watu wakichunga dada zao,,,,,,
na mara nyingi imenitokea nakutana na wasichana mbalimbali
ambao wanafuatana na kaka zao hata out.....
yaani unamtoa msichana out na anakuja na kaka yake ....mnakunywa wote bila tabu.....
au unakuta msichana anakupa no ya simu ya kaka yake
na unapiga halafu kaka yake anakuunganisha kwa dada yake.....
nakumbuka zamani watu walikuwa wakipigana kwa ajili ya dada zao.
siku hizi ni tofauti why??????????
kila siku huwa najiuliza....mbona siku hizi watu hawachungi dada zao?????
yaani sisikii wala kuona watu wakichunga dada zao,,,,,,
na mara nyingi imenitokea nakutana na wasichana mbalimbali
ambao wanafuatana na kaka zao hata out.....
yaani unamtoa msichana out na anakuja na kaka yake ....mnakunywa wote bila tabu.....
au unakuta msichana anakupa no ya simu ya kaka yake
na unapiga halafu kaka yake anakuunganisha kwa dada yake.....
nakumbuka zamani watu walikuwa wakipigana kwa ajili ya dada zao.
siku hizi ni tofauti why??????????