siku hizi sio fasheni au??

heheheh!shemasi mbona kule umemkaribisha monicam nimekuachia?naomba basi uniachie dadaake pj,au?

Lol! Haya bana, kizuri kula na nduguyo. Mpe hi shem wetu PJ. Najua itamuuma lakini atakuwa hana jinsi mchuchu ukikubali.
 
Lol! Haya bana, kizuri kula na nduguyo. Mpe hi shem wetu PJ. Najua itamuuma lakini atakuwa hana jinsi mchuchu ukikubali.

hahaha!
mkuu shemasi unajua nin,MWENYE DADA HAKOSAGI SHEMEJI!mbona na yeye anatuharibia dada zetu?
 
hahaha!
mkuu shemasi unajua nin,MWENYE DADA HAKOSAGI SHEMEJI!mbona na yeye anatuharibia dada zetu?

Afu inavyoonyesha PJ kabarikiwa. Dada zetu wanaipata habari yao, sema inakuwa siri yao.
 
Acha mivivu na wewe kama unae dada si achia namba watu wajaribu bahati au na we bado upo kwenye kuchunga nini? 911 hata bongo inatumika? Achia kitu +255...

Lol kwa hiyo we wakubali ur dada amegwe?? huku unaona!!
 
kila siku huwa najiuliza....mbona siku hizi watu hawachungi dada zao?????
yaani sisikii wala kuona watu wakichunga dada zao,,,,,,
na mara nyingi imenitokea nakutana na wasichana mbalimbali
ambao wanafuatana na kaka zao hata out.....
yaani unamtoa msichana out na anakuja na kaka yake ....mnakunywa wote bila tabu.....
au unakuta msichana anakupa no ya simu ya kaka yake
na unapiga halafu kaka yake anakuunganisha kwa dada yake.....
nakumbuka zamani watu walikuwa wakipigana kwa ajili ya dada zao.

siku hizi ni tofauti why??????????

Hahaha! the boss huyo sio kaka ni mume mwenzako,demu anakuwa kamwambia wakulie hela zako na kama haupo unatafuna kwa ulaini tu.Hayo ndio mambo ya mjini,sio rahisi kaka na dada kufatana kila mara atokapo na mpenzi wake unaliwa bro.
 
kila siku huwa najiuliza....mbona siku hizi watu hawachungi dada zao?????
yaani sisikii wala kuona watu wakichunga dada zao,,,,,,
na mara nyingi imenitokea nakutana na wasichana mbalimbali
ambao wanafuatana na kaka zao hata out.....
yaani unamtoa msichana out na anakuja na kaka yake ....mnakunywa wote bila tabu.....
au unakuta msichana anakupa no ya simu ya kaka yake
na unapiga halafu kaka yake anakuunganisha kwa dada yake.....
nakumbuka zamani watu walikuwa wakipigana kwa ajili ya dada zao.

siku hizi ni tofauti why??????????

Makaka wa siku hizi nao ni viwembe hawatulii, kazi kufuatilia mabinti na hali wanaacha dada zao wanamegwa hovyo hovyo.

Makaka wa siku hizi upendo hawana, si kwa dada zao wala wake zao, ndiyo maana ndoa zipo hatarini. Hakuna makaka siku hizi.
 
Back
Top Bottom