Siku hizi ni heri mwanaume ufuge mbuzi kuliko uoe

AlphaMale

JF-Expert Member
Oct 26, 2019
613
1,402
Ndoa za siku hizi, mwanaume unaoa leo, wiki ya kesho mke anakukimbia, umepoteza gharama za harusi na your social status. Nndugu watakuonaje?

Unakuwa kwenye relationship na mdada, mdada hawezi hata kuja ghetto kukudekia, kukufulia, au kukupikia unaishia kuombwa pesa kila wiki, na hiyo sex yenyewe unapewa kwa taabu kweli. Sana sana mdada atakupa headaches na stress za kipuuzi.

Yaani wanawake wengi hawaleti chochote kwenye mahusiano, wanawake wanachojua ni kuchukua, kuchukua, kuchukua, na kuchukua!
 
ukitaka wanawake wasikusumbua fuata formula ya ndege wafananao kuruka pamoja...

jay z sio mjinga kumuoa beyonce, beckham kamuoa victoria.. yaani kama wewe tajiri oa mwanamke tajiri.. mtoto wa kimei kamuoa mtoto wa matemba wa victoria oil.. hiyo maana yake hakuna kunyonyana kiuchumi mtu avune ambacho hajapanda..

ila kama wewe unatongoza wanawake kisa wana chura au uzuri.. lazima uwachukie wanawake..

ukweli ni kwamba wanawake wengi hawana cha ku offer kwenye mahusiano au ndoa zaidi ya papuchi.. jay z kamuoa beyonce sababu ana offer zaidi ya papuchi kwenye ndoa yao..
 
Tena wanachukua hata kusema asante hawawezi.. Changamoto sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hujapata Mke ila Umepata mwanamke mkuu. Hili suala jaribu Ku surrender kwa wazee wako ,mambo utayaona mukide.pia chukua ama oa MTU unayejua historia ya ukoo wake.na sio umekutana na Mdada kwa mwendokasi mkabanana mpaka suruali ikavimba ukachukua namba ndo utegemee mke huyo atakuwa mwanamke.
 
Piga punyeto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana! Tafuta wa Level yako.

Simple.
 
Umeoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…