Ndoa za siku hizi, mwanaume unaoa leo, wiki ya kesho mke anakukimbia, umepoteza gharama za harusi na your social status. Nndugu watakuonaje?
Unakuwa kwenye relationship na mdada, mdada hawezi hata kuja ghetto kukudekia, kukufulia, au kukupikia unaishia kuombwa pesa kila wiki, na hiyo sex yenyewe unapewa kwa taabu kweli. Sana sana mdada atakupa headaches na stress za kipuuzi.
Yaani wanawake wengi hawaleti chochote kwenye mahusiano, wanawake wanachojua ni kuchukua, kuchukua, kuchukua, na kuchukua!
Unakuwa kwenye relationship na mdada, mdada hawezi hata kuja ghetto kukudekia, kukufulia, au kukupikia unaishia kuombwa pesa kila wiki, na hiyo sex yenyewe unapewa kwa taabu kweli. Sana sana mdada atakupa headaches na stress za kipuuzi.
Yaani wanawake wengi hawaleti chochote kwenye mahusiano, wanawake wanachojua ni kuchukua, kuchukua, kuchukua, na kuchukua!