T Turudi pale Rau Madukani JF-Expert Member Joined Jan 16, 2016 Posts 2,765 Reaction score 5,835 Mar 10, 2018 #1 Huyo mtangazaji ni Komla Dumor lakini jamaa wakamwandika kama president wa Iran
Jagarld JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 2,689 Reaction score 3,442 Mar 10, 2018 #2 TBC, na Star TV ni kawaida yao, Masao Bwire kwao kumuita Infantino siyo shida,Theleza May kusomeka Trump wala hawashtuki labda wanacheleweshea sana mishahara watumishi....!
TBC, na Star TV ni kawaida yao, Masao Bwire kwao kumuita Infantino siyo shida,Theleza May kusomeka Trump wala hawashtuki labda wanacheleweshea sana mishahara watumishi....!
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 6,056 Reaction score 7,519 Mar 10, 2018 #3 BBC Kwakumheshimu wanatuzo inayotumia jina lake.
Sam bm JF-Expert Member Joined Oct 25, 2017 Posts 285 Reaction score 195 Mar 10, 2018 #4 Mr Easy said: Huyo mtangazaji ni Komla Dumor lakini jamaa wakamwandika kama president wa IranView attachment 709890 Click to expand... Huyo jamaa alishafariki
Mr Easy said: Huyo mtangazaji ni Komla Dumor lakini jamaa wakamwandika kama president wa IranView attachment 709890 Click to expand... Huyo jamaa alishafariki
T Turudi pale Rau Madukani JF-Expert Member Joined Jan 16, 2016 Posts 2,765 Reaction score 5,835 Mar 10, 2018 Thread starter #5 Sam bm said: Huyo jamaa alishafariki Click to expand... Ni kweli alishafariki miaka kama miwili mitatu iliyopita, alikuwa anatuwakilisha vizuri sana watu weusi ndani ya bbc
Sam bm said: Huyo jamaa alishafariki Click to expand... Ni kweli alishafariki miaka kama miwili mitatu iliyopita, alikuwa anatuwakilisha vizuri sana watu weusi ndani ya bbc
T Turudi pale Rau Madukani JF-Expert Member Joined Jan 16, 2016 Posts 2,765 Reaction score 5,835 Mar 10, 2018 Thread starter #6 Na huyo jamaa akiwa anasoma habari, ghafla camera ikakatiza mbele yake na kuonekana kabisa kwa watazamaji. Ikabidi acheke tu. Inawezekana aliyekuwa anacontrol camera alishapangiwa kazi nyingine.
Na huyo jamaa akiwa anasoma habari, ghafla camera ikakatiza mbele yake na kuonekana kabisa kwa watazamaji. Ikabidi acheke tu. Inawezekana aliyekuwa anacontrol camera alishapangiwa kazi nyingine.