Naipend ile ya Mengi aliyolipishwa shilingi moja na yule mhindi hivi alilipa!I hate politics kabisa! Si unaona siku za nyuma watu walitishiana kupelekana mahakamani na kulipishana bilioni za pesa, alafu kimya!
Kutamka neno mahakama ni rahisi sana, lakini mtu akifikiria kwenda kukutana na Tundu Lisu uso kwa uso, anaanza kupiga chafya kabla ya kupiga miayo asubuhi. Na akifikria tembo aliokwisha gema, anajifunika shuka