Sikio lake limeziba msaada tafadhari

Sikio lake limeziba msaada tafadhari

Kingubwe

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2018
Posts
238
Reaction score
207
Kama ambavyo kichwa kinajieleza hapo ju.

kijana wangu leo anasiku ya saba tangu sikio lake la upande wa kushoto lizibe yani anashindwa hata kutembea.

chanzo,ilikua usiku wa kuamkia jumapili tar 30 disemba 2018 majira ya saa nane usiku alihisi sikio linatuma kwa ndani,baada ya kuamka usingizini akakunja kitambaa akaingiza sikioni baada ya kutoa mpaka leo sikio limeziba.

tumejaribu kumuweka maji ya uvuguvugu lakini hayaingii,dawa ya sikio pia leo ni siku ya nne anatumia lakini bado halijavubuka sasa atujui tatizo nini.

msaada wenu tafadhari...
 
Limeziba kwamba hasikii vizuri au ? Nenda hospital zenye ma dr wa ENT wakati mwingine ni uchafu umezidi na ushuhuda wa mtu mmoja alikuwa hadi na wasiwasi wa kutosikia maana sikio linauma pia kakuta na dr wa ENT wakaangalia wakakuta tu uchafu umezidi wakamtibia sahivi yuko poa kabisa hata haamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo dar nenda kuna hospitali inaitwa massana nilikuwa na shida inayofanana na iyo walinitibu fresh
 
Duhhhh hapo kweli kamuone daktari kama lilikua linauma then likaziba, mpelekeni hospital.

Ila sijaelewa why liliuma in the first place, out of nowhere? Alikua amasafisha na cotton bars?? Or?

I had a similar case. Mimi masikio yangu nilichukua kwa mama. Mama has really small years. Kuna kipindi nilikuwa natumia cotton bars kusafisha masikio. Kila nikitumia sikio linaziba as wax covers... Bhasi naweza kaa hivyo hadi silu nne, hapo nawekewa mafuta, maji... Nothing works.

Solution was Hydrogen peroxide ya masikio, hii concentration yake ndogo sana kama 1%. Unaiweka for 5 mins then ukitoa inatoka na uchafu wote. This is very effective. I have heard bad things about overuse of it. But Mimi nimeitumia for a very wrong time without any issues.
But after kuona uvivu kununua daily na Kama wewe unaogopa stories za hydrogen peroxide, then tumia mkojo. Yes mkojo. But ni vyema uache wa Kwanza utoke then kinga wa mwisho mwisho... Mkojo works the same way with Hydrogen peroxide...

But again Mimi sikio halikuuma. So my advice nenda Hospital Kwanza. Pole Sana. Na Kheri ya Mwaka Mpya!!!

-callmeGhost
Kama ambavyo kichwa kinajieleza hapo ju.

kijana wangu leo anasiku ya saba tangu sikio lake la upande wa kushoto lizibe yani anashindwa hata kutembea.

chanzo,ilikua usiku wa kuamkia jumapili tar 30 disemba 2018 majira ya saa nane usiku alihisi sikio linatuma kwa ndani,baada ya kuamka usingizini akakunja kitambaa akaingiza sikioni baada ya kutoa mpaka leo sikio limeziba.

tumejaribu kumuweka maji ya uvuguvugu lakini hayaingii,dawa ya sikio pia leo ni siku ya nne anatumia lakini bado halijavubuka sasa atujui tatizo nini.

msaada wenu tafadhari...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duhhhh hapo kweli kamuone daktari kama lilikua linauma then likaziba, mpelekeni hospital.

Ila sijaelewa why liliuma in the first place, out of nowhere? Alikua amasafisha na cotton bars?? Or?

I had a similar case. Mimi masikio yangu nilichukua kwa mama. Mama has really small years. Kuna kipindi nilikuwa natumia cotton bars kusafisha masikio. Kila nikitumia sikio linaziba as wax covers... Bhasi naweza kaa hivyo hadi silu nne, hapo nawekewa mafuta, maji... Nothing works.

Solution was Hydrogen peroxide ya masikio, hii concentration yake ndogo sana kama 1%. Unaiweka for 5 mins then ukitoa inatoka na uchafu wote. This is very effective. I have heard bad things about overuse of it. But Mimi nimeitumia for a very wrong time without any issues.
But after kuona uvivu kununua daily na Kama wewe unaogopa stories za hydrogen peroxide, then tumia mkojo. Yes mkojo. But ni vyema uache wa Kwanza utoke then kinga wa mwisho mwisho... Mkojo works the same way with Hydrogen peroxide...

But again Mimi sikio halikuuma. So my advice nenda Hospital Kwanza. Pole Sana. Na Kheri ya Mwaka Mpya!!!

-callmeGhost

Sent using Jamii Forums mobile app
shukrani ngoja twende hospitali.
 
Limeziba kwamba hasikii vizuri au ? Nenda hospital zenye ma dr wa ENT wakati mwingine ni uchafu umezidi na ushuhuda wa mtu mmoja alikuwa hadi na wasiwasi wa kutosikia maana sikio linauma pia kakuta na dr wa ENT wakaangalia wakakuta tu uchafu umezidi wakamtibia sahivi yuko poa kabisa hata haamini

Sent using Jamii Forums mobile app
hasikii, yani akitembea anasema anazisikia hatua anazopiga sasa analia tu ananipa presha.
 
iko maeneo gani mkuu mimi nipo sinza darajani.
Ipo mbezi juu mkuu , ingawa mimi nilipata iyo shida tarehe za mwazo za mwaka 2014 walitibu na kunisafisha (inaitwa kupiga bomba masikio) sina uhakika sana kama quality ya huduma zao kwa leo bado zipo vilevile
 
Duhhhh hapo kweli kamuone daktari kama lilikua linauma then likaziba, mpelekeni hospital.

Ila sijaelewa why liliuma in the first place, out of nowhere? Alikua amasafisha na cotton bars?? Or?

I had a similar case. Mimi masikio yangu nilichukua kwa mama. Mama has really small years. Kuna kipindi nilikuwa natumia cotton bars kusafisha masikio. Kila nikitumia sikio linaziba as wax covers... Bhasi naweza kaa hivyo hadi silu nne, hapo nawekewa mafuta, maji... Nothing works.

Solution was Hydrogen peroxide ya masikio, hii concentration yake ndogo sana kama 1%. Unaiweka for 5 mins then ukitoa inatoka na uchafu wote. This is very effective. I have heard bad things about overuse of it. But Mimi nimeitumia for a very wrong time without any issues.
But after kuona uvivu kununua daily na Kama wewe unaogopa stories za hydrogen peroxide, then tumia mkojo. Yes mkojo. But ni vyema uache wa Kwanza utoke then kinga wa mwisho mwisho... Mkojo works the same way with Hydrogen peroxide...

But again Mimi sikio halikuuma. So my advice nenda Hospital Kwanza. Pole Sana. Na Kheri ya Mwaka Mpya!!!

-callmeGhost

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitoa uchafu (nta) kwenye masikio,ubongo unapata taarifa kuwa kuwa nta imetumika hivyo ubongo unafanya mawasiliano na organ husika ili nta iliyotolewa iende kucover space. Kadri unavyozidi kutoa basi na ubongo ndivyo unavyozidi kuzalisha na kusupply hiyo nta kwenye masikio ukidhani kwamba mahitaji/matumizi ni makubwa. Matokeo yake ndo hayo,nta inazidi kiwango na kuziba njia ya masikio. Tumia kidole kidogo kutoa uchafu sio pamba, by the way ule sio uchafu bali ni nta maalum ambayo kazi yake kuu ni kunasa vumbi na vijidudu vinavyojaribu kupita na kuingia ndani ya masikio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Limeziba kwamba hasikii vizuri au ? Nenda hospital zenye ma dr wa ENT wakati mwingine ni uchafu umezidi na ushuhuda wa mtu mmoja alikuwa hadi na wasiwasi wa kutosikia maana sikio linauma pia kakuta na dr wa ENT wakaangalia wakakuta tu uchafu umezidi wakamtibia sahivi yuko poa kabisa hata haamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu alienda haspital gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom