julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
Seriously jamani mwenzenu nampenda msichana kabla sijamgegeda lakini nikisha mgegeda basi na mapenzi juu yake hayapo tena! nimejitahidi kutafuta msichana atakaye ridhisha moyo wangu lakini wapi nikisha mtafuna tu na penzi juu yake hunitoka! Nafanyaje jamani?