Linapokuja suala la mapenzi haijalishi mwanamke ana uzuri kiasi gani nikimtongoza akianza kuniringia ringia naaghairisha kuendelea kumfutilia
Nawaza mtu ambae atatoka kwao au kwake kwa pesa yangu aje ale kwa pesa yangu nilipie chumba pesa yangu nimfanye tena aenjoy kwa nguvu zangu tena namla kwa condoms alafu napata wapi ujasiri wa kumbembeleza akianza ingia toka zake
Nishapanga na mmoja pisi kweli kwamba anakuja na nikawa nimetenga kama 100 ya kutumia nae akazingua ckumtafta teena 100 yangu nikaanza kuigawa kwa ndugu zangu shukrani nilizopata mpaka leo zimenipa kibri. Siwezi kumbembeleza mtu aje ale pesa zangu ninazotafta kwa mbide Bora awe mnyenyekevu nyodo za nini wanaume amkeni nyie
Nawaza mtu ambae atatoka kwao au kwake kwa pesa yangu aje ale kwa pesa yangu nilipie chumba pesa yangu nimfanye tena aenjoy kwa nguvu zangu tena namla kwa condoms alafu napata wapi ujasiri wa kumbembeleza akianza ingia toka zake
Nishapanga na mmoja pisi kweli kwamba anakuja na nikawa nimetenga kama 100 ya kutumia nae akazingua ckumtafta teena 100 yangu nikaanza kuigawa kwa ndugu zangu shukrani nilizopata mpaka leo zimenipa kibri. Siwezi kumbembeleza mtu aje ale pesa zangu ninazotafta kwa mbide Bora awe mnyenyekevu nyodo za nini wanaume amkeni nyie