Sijui nimekosea wapi


Kweli ndoa ngumu 😂😂😂😂

Asa mlale kwa kutazamana ili iweje asee?
 
Hivi hiyo ya kunuka pumzi ina dawa? Niliwa kuwa na mwanamke ananuka pumzi ilikuwa shida.. Mbaya zaidi akawa anapenda sana denda,
Mtoa mada inabidi ajitathmin!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukafanyaje? Maana mimi nadhani uchafu ndiyo kitu nachokichukia kuliko vyote.
 
Nashukuru kwa mawazo. Kwanza wife pua haifanyikazi. Hata ungejamba no shida.miaka yote tumelala kwa kutizamana. Hii imekuja ghafla ndo maana inanipa shida
Sielewi hii kulala kwa kutazamana ili iweje! Au ndiyo furaha yako?
 
Pole mkuu.. Km inafikia mpaka miezi 4 mkeo hakupi chezo basi issue iko serious sana. Ila tiba ya tatizo lako ni mazungumzo ya kina baina yenu nawe kama una hakika hakuna mahala ulipo mkosea inabidi uanze uchunguzi mdogo uone wapi kuna tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…