Sijui nimeathirika na Nyeto au La !

Sijui nimeathirika na Nyeto au La !

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,708
Reaction score
8,746
Wakuu kama bichwa la Uzi linavyojieleza hapo juu
Sielewi kama nimerogwa,nimekua addicted au sijui nifanyaje niache nyeto( Punyeto,Puli)
Nlianza kupiga puli yapata miaka 15 iliyopita wakati huo nasoma shule moja ya boys mkoani Ruvuma
Siku zilivyozidi kwenda nyeto ndo ikawa mfariji wangu
Nimetembea na mademu kibao lakini nimeshindwa kuacha kabisa
Naweza nkawa na demu ghetto nkampiga hadi goli 6 akiondoka natamani Nipige nyeto angalau goli moja ndo najiskia amani
Nna mwanamke na mtoto mmoja wa miaka 5
Nakaa mbali na mama mtoto nkikutana nae namshughulikia vya kutosha but mwisho lazima kifanyike kitendo cha nyeto ingawa mama mtoto hajui kama anavyonifanyia mi ndo napiga nyeto hapo nkimaliza nalala vizuri
Kuna wakati nakua busy na kukaa hadi siku 5 bila kupiga puli but inafika wakati natamani nyeto
Nlikaa kama wiki 2 sijapiga Jana nimetembelewa na mama mtoto nimempa dozi Leo kasafiri nimepiga nyeto mida hii sielewi kama ninerogwa au nifanyaje niachane na puli
Nimejaribu zile njia mbalimbali wanazoshauri watu za kuachana na punyeto nimeshindwa
Kwenye kujua dawa ya haraka na ya uhakika ya kuacha aniambie sio zile sababu mnazoleta Mara usiangalie porno ,mara Fanya mazoezi,sijui usikae alone zote hizo nimefanya zimegonga mwamba.
 
Wakuu kama bichwa la Uzi linavyojieleza hapo juu
Sielewi kama nimerogwa,nimekua addicted au sijui nifanyaje niache nyeto( Punyeto,Puli)
Nlianza kupiga puli yapata miaka 15 iliyopita wakati huo nasoma shule moja ya boys mkoani Ruvuma
Siku zilivyozidi kwenda nyeto ndo ikawa mfariji wangu
Nimetembea na mademu kibao lakini nimeshindwa kuacha kabisa
Naweza nkawa na demu ghetto nkampiga hadi goli 6 akiondoka natamani Nipige nyeto angalau goli moja ndo najiskia amani
Nna mwanamke na mtoto mmoja wa miaka 5
Nakaa mbali na mama mtoto nkikutana nae namshughulikia vya kutosha but mwisho lazima kifanyike kitendo cha nyeto ingawa mama mtoto hajui kama anavyonifanyia mi ndo napiga nyeto hapo nkimaliza nalala vizuri
Kuna wakati nakua busy na kukaa hadi siku 5 bila kupiga puli but inafika wakati natamani nyeto
Nlikaa kama wiki 2 sijapiga Jana nimetembelewa na mama mtoto nimempa dozi Leo kasafiri nimepiga nyeto mida hii sielewi kama ninerogwa au nifanyaje niachane na puli
Nimejaribu zile njia mbalimbali wanazoshauri watu za kuachana na punyeto nimeshindwa
Kwenye kujua dawa ya haraka na ya uhakika ya kuacha aniambie sio zile sababu mnazoleta Mara usiangalie porno ,mara Fanya mazoezi,sijui usikae alone zote hizo nimefanya zimegonga mwamba.

It is easy bro, just decide not to do it. For example think this way, if you have to do it, is gonna cost your life, you gonna die, you will not do it, would you?

Man up a little bit, find yourself decent girlfriend and have plenty of sex with her, lots of fun and games, and stick to your resolution. Life is simple, but we make it difficult because of our weakness.
 
Muda wa nyeto fungua kitabu cha dini yako usome maandiko.

Rubiikimimi
Hahaha umenikumbusha hii mbinu niliwahi kuitumia ila changamoto ikawa nikijisikia kupunguza maji mwilini nikielekea maliwato lazima nikwee mnazi naishia kusikitika nafunga bible yangu nalala, kuacha hii kitu ni changamoto sana.
 
alafu mzaha mzaha wa kujishika dushelele ndio unaperekea kunyetuka

kama unanyetuka na shemeji anapata haki yake wala halalamiki basi hakuna shida jipu muda nguvu zikiisha kabisa utapumzika mazima
 
Back
Top Bottom