Nina mpenzi wangu ambaye tuna mwaka moja nae, juzi nimepigiwa simu na mdada aliyedai kua ni mpenzi wa mpenzi wangu anadai wana miaka minne kwenye mahusiano na huyo mpenzi wangu.
Nilipojaribu kuongea na mpenzi wangu akaniambia na mimi ndio chaguo lake,akasema atanieleza sababu za yeye kuwa na mimi,wakati akiwa na yule mdada,, je nimsubiri anipe sababu au nimteme.
Nilipojaribu kuongea na mpenzi wangu akaniambia na mimi ndio chaguo lake,akasema atanieleza sababu za yeye kuwa na mimi,wakati akiwa na yule mdada,, je nimsubiri anipe sababu au nimteme.