Sijui Nifanyaje



Eti mtoto wa kambo pande zote!!!!!

Kambo camp!!???
 

Huu ni utoto and don't play with our mind. wewe ni sitaki nataka ( according to ur thread inaonyesha ni miongoni mwa wanaume zaifu)
 
Scenario yake ni tofauti wao walishatongozana na mtoto wakazaa kabisa

halafu tangu jana nilikwambia tukikubali haraka mnasema tunajirahisi,

tukichelewa eti tunaringa hamna jema nyie!!!!!!!!!!
Nami nilikwambia tangu jana kuwa hata ukubali haraka, au uchelewechelewe, kwangu hakuna tofauti.... Kwa sababu yule aliyechelewa, nikimuuliza kwa nini alichelewa, huwa hanipi sababu za msingi
 
Nami nilikwambia tangu jana kuwa hata ukubali haraka, au uchelewechelewe, kwangu hakuna tofauti.... Kwa sababu yule aliyechelewa, nikimuuliza kwa nini alichelewa, huwa hanipi sababu za msingi

Si alikuwa anafikiria Ombi lako!!!!!
 
Pole sana ndugu! sijajua undugu uliopo kati ya familia yako na ya huyo mwanamke hadi ikapelekea kuanza kuishi kinyumba bila kujuana, au labda ulijua undugu wenu ila unajaribu kutuficha, mimi siamini kuwa unaweza kuishi karibu na ndugu zako ambao wazazi wako wanawafahamu harafu wewe usiwafahamu. ila kwa sababu maji yameshamwagika nakushauri ujaribu kuongea vizuri na wazazi wako kama watakataa jaribu kutafuta msaada kwa wazee wanaoheshimiana na wazazi wako uombe wakusaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…