mwambie umebarikiwa abaki na unene huo mwisho wa siku magonjwa ya moyo, liver... Mwambie ukweli ili afanye kitu kuhusu mwili wake.. wanawake bongo wanaongoza kua na vitambi, wanaofanya mazoezi ni wa kuhesabu.. Nchi ya watu wenye afya ovyo nani anaitaka?
lets start some gym classes...
vitambi vya castke light hatari sana
vitambi vingine ni sababu ya kujifungua......wengi wakishazaa matumbo wanashindwa kuyarudisha kama zamani
Sio kweli,Sema kweli hata kama haipendezi masikioni.
vitambi vya castke light hatari sana
Plus mchemsho ni hatareeeeeeeeee
Mi ukiniambia kweli ntashukuru zaid ila vitambi vngne kdr umr unaposogea kwa mwanamke vinakuja ukizingatia aina za vyakula vyetu. Jamani mi nilikuwa mwembamba kama mgonjwa wa ugonjwa flan hivi but ukiniambia sasa nini kimeninenepesha xjui na hizo castle light sinywi!