She z human jamani..
Anaweza akawa na sababu nyingi tu..
Mvumilie..ila jitahidi kuwa karibu sana na yeye..
Chunguza kama ana stress..
Mpe nafasi akusimulie hzo stress..
Mcomfort.. bila kugusia sex..
Atarudi tu kwenye mstari..
Cyo sahihi kutafuta mchepuko..na huyo mchepuko akikunyima then wht? Utajikuta u nadevelop tabia ya kuchepuka hovyo..
Anaweza akawa na sababu nyingi tu..
Mvumilie..ila jitahidi kuwa karibu sana na yeye..
Chunguza kama ana stress..
Mpe nafasi akusimulie hzo stress..
Mcomfort.. bila kugusia sex..
Atarudi tu kwenye mstari..
Cyo sahihi kutafuta mchepuko..na huyo mchepuko akikunyima then wht? Utajikuta u nadevelop tabia ya kuchepuka hovyo..