Sijui kwanini? Mke wangu sikuhizi hafurahii tendo la ndoa

Ha ha ha ha, mi kuna mtu wangu wa karibu kuna siku nilimwambia aje home kulala, akaja but hakunipa wakati siku zote huwa tunapean, nikaona isiwe shida, nami nikakata line sasa ananibembeleza!
 
kuna wakati inachosha mtu anajitwangia tuuu hayuko romantic unamvumilia atabadilika lakini waapi mwishowe unakuwa huna hamu nawe umeigiza umechoka sasa ufanyeje
wanaume wegi hawako romantic, wanajitahd kabla a ndoa, akishaoa zigo si ndio hili, ni kupanda juu tu ka aparamia mkokoteni, mwingine keshatafuna mibange yake ndio lllloh, mwanaume akiwa romantik kamwe hautamchoka hata awe malaya kiasi gani, "umalaya kwa wanaume ni sifa si munajuwa?
 
Wanajamii,

Nahisi mke wangu hanisomi vema! Namshangaa sana kwamba zamani zile tukiingia on bed yaani nilikuwa nikimgusa tu anageuka anaachia mchezo kwa raha zetu maisha yanasonga mbele.

Ajabu ni kwamba siku hizi hata umtupie signal za aina gani ye ndo kwanza anakoroma usingizini.

Akishtuka anajiliza na kujifanya kumind kwamba nimemkatiza usingizi.

Hii hali kusema kweli inanikera na nilishamwambia mara kadhaa lakini nahisi somo limegoma kuingia.

Mfano mzuri ni leo hii nimemtupia signal kibao mpaka nimejaribu kwenda extra mile lakini kama kawaida kajifanya kushtuka usingizini na kulialia! Nimeona isiwe tabu nimemwacha aendelee kukoroma.

Now, mawazo hasi yashaingia kichwani mwangu na mbaya zaidi nafikiria kutafuta mwanamke ambaye nitakuwa napiga naye mzigo wa nguvu kwenda mbele halafu yeye namuweka kushoto aendelee kukoroma.

Maana yake mzee mzima nishatumia mbinu nyingi hata kabla ya kulala afahamu kwamba nataka nimgegede lakini anajifanya anisomi! Natupia na vizawadi lakini anisomi.

Naona isiwe tabu sasa ngoja nimtafutie msaidizi wa ukweli akileta kiburi zaidi namweka nje ya boma langu immediately!
Hebu nitumie nammba yake mkuu nikusaidie kumdodosa nitakupa mrejesho mkuu wala usiwe na hofu..
 
Jitahidi kuwa unamuandaa vzr kbl ya tendo jitahidi kuwa mtundu pia mdogo wangu, usizoee mazingira hayo hayo kila siku jitahidi kubadilisha mazingira somtime, kwa mfano unaweza kuwa unamgongea jikoni au sebuleni yaani ilimradi tu uwe mbunifu hlf kama hali ya fweza inaruhusu jitahidi pia uwe unamtoa outing ili msiwe bored na mazingira hayo hayo wakati wote.
 
Back
Top Bottom