Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,543
- 4,664
Kimondo cha nyeto mwenyekiti?saa 5 tunarusha vimondo, vituo ni Haifa na Tel Aviv
Amewauza ma general wake woote.Kiongozi mkuu wa Iran the supreme leader Ayatollah huenda ni Mossad Tena double agent aliyekubuhu.
Simuamini Kabisa tangu Yule Rais wao Ebrahim Raisi afe kwenye helicopter kwenye mazingira tatanishi, na boss wa Hamas Ismail haniyeh kufa kambini, na Nasrallah kufa ni wazi Ayatollah aliwachoma Tu Kwa Mossad.
Angalia sasa hivi viongozi wa ngazi za juu Iran wanavyouliwa itakuwa tu Ayatollah anawachoma Kwa Mossad.
Na sasa hivi hajali kabisa kwasababu umri umeenda na ni mgonjwa hana cha kupotezea.
Yani haya ni mawazo yangu tu Kwa tafiti za kufikiria.
Simuamini Kabisa Ayatollah.
Mungu wabariki raia wa Iran kwenye ukombozi wao ambao wataupata Karibuni.
Wasipokuwa makini hivyo vimondo vitaangukia Al aqsa mosque. Kobaz watamaindsaa 5 tunarusha vimondo, vituo ni Haifa na Tel Aviv
Kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali atafanikisha na Qauli thabeet za kutosha tutapata. Mcheki mwamba hapo chin.saa 5 tunarusha vimondo, vituo ni Haifa na Tel Aviv
we phaller una ID ngapi ?Kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali atafanikisha na Qauli thabeet za kutosha tutapata. Mcheki mwamba hapo chin.
Hahaha cheka balaawe phaller una ID ngapi ?
Tafuta pesa kende weeeeKiongozi mkuu wa Iran the supreme leader Ayatollah huenda ni Mossad Tena double agent aliyekubuhu.
Simuamini Kabisa tangu Yule Rais wao Ebrahim Raisi afe kwenye helicopter kwenye mazingira tatanishi, na boss wa Hamas Ismail haniyeh kufa kambini, na Nasrallah kufa ni wazi Ayatollah aliwachoma Tu Kwa Mossad.
Angalia sasa hivi viongozi wa ngazi za juu Iran wanavyouliwa itakuwa tu Ayatollah anawachoma Kwa Mossad.
Na sasa hivi hajali kabisa kwasababu umri umeenda na ni mgonjwa hana cha kupotezea.
Yani haya ni mawazo yangu tu Kwa tafiti za kufikiria.
Simuamini Kabisa Ayatollah.
Mungu wabariki raia wa Iran kwenye ukombozi wao ambao wataupata Karibuni.
Unahisi Kuna Faida gan Kwa Israel kupiga Iran, ikiwa Ayatollah ni Mossad ??.Kiongozi mkuu wa Iran the supreme leader Ayatollah huenda ni Mossad Tena double agent aliyekubuhu.
Simuamini Kabisa tangu Yule Rais wao Ebrahim Raisi afe kwenye helicopter kwenye mazingira tatanishi, na boss wa Hamas Ismail haniyeh kufa kambini, na Nasrallah kufa ni wazi Ayatollah aliwachoma Tu Kwa Mossad.
Angalia sasa hivi viongozi wa ngazi za juu Iran wanavyouliwa itakuwa tu Ayatollah anawachoma Kwa Mossad.
Na sasa hivi hajali kabisa kwasababu umri umeenda na ni mgonjwa hana cha kupotezea.
Yani haya ni mawazo yangu tu Kwa tafiti za kufikiria.
Simuamini Kabisa Ayatollah.
Mungu wabariki raia wa Iran kwenye ukombozi wao ambao wataupata Karibuni.
Nitafute pesa mara ngapi wewe Kayngay?Tafuta pesa kende weeee
Nilivyo ona kipenzi chetu imam, nika jua. Mbwa hii 😂 🤣we phaller una ID ngapi ?
Vp saa tano bado haijafika?saa 5 tunarusha vimondo, vituo ni Haifa na Tel Aviv
Nikajenge kibanda Telegram nisihadithiwe kwa megatron,,,@,,,Warmonitor,,,,@Brics newssaa 5 tunarusha vimondo, vituo ni Haifa na Tel Aviv
Unapoteza muda online republic na masuala ya Iran BureNitafute pesa mara ngapi wewe Kayngay?