Ndugu yangu baba latifa nyingi ya hizo ajali tunajitakia wenyewe kwa sababu nyingi ambazo hadi najisikia uvivu kuzieleza; lakini nyingi zaidi ni za kimfumo ambazo hazitaondoka hadi tutakapopata ujasiri wa kutosha tuseme "sasa basi; viwe viwavyo huu mfumo lazima tuuegeshe!"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.