Sijui kama nitapiga Kura

Sijui kama nitapiga Kura

msumeno

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2009
Posts
2,826
Reaction score
1,738
Waungwana,

Nimejitahidi sana kutafuta sababu ya kunirudisha TZ ili nipige kura imeshindikana.

Ingekua graduation ya mwanangu baada ya Oct hapo ingekua sawa lakini bahati mbaya itakua mwezi wa 9 na mimi kama baba siwezi kosa tukio hili muhimu kuliko hata la uchaguzi ( sorry).

Sijui mpaka lini wananchi tulio nje tutapata fursa ya kuchagua viongozi tuwapendao. Mtakao chagua please zingatieni maadili yote (fumbo)
 
Pole sana. lakini unaweza kuendelea kuwahamasisha watanzania wengine kujiandikisha na kwenda kupiga kura.

Tuko pamoja sana
 
Pamoja na fumbo lako tutapiga kura badala yako
inaelekea wewe umeshaukana uraia wa Tanzania bakia hukohuko
usituletee balaaa nchini kwetu!
 
msumeno

TUPENI TOUGH ILI TUWATOE WAPIGA KURA WATOKE KWENDA KUPIGA KURA SIKU YA UCHAGUZI,TUMEPANGA KUTUMIA WAELEMISHA WAPIGA KWENYE VITUO VYA MABASI,MASOKONI,NDANI YA MABASI NA KWENYE MIKUSANYIKO SHIDA KUBWA NI PESA ZA KULA NA USAFIRI.KWA MAELEZO ZAIDI 0717288306,EMAIL <ondoche@gmail.com> MIMI Sospeter Okiri Ogiro.
 
Last edited by a moderator:
tupeni tough ili tuwatoe wapiga kura watoke kwenda kupiga kura siku ya uchaguzi,tumepanga kutumia waelemisha wapiga kwenye vituo vya mabasi,masokoni,ndani ya mabasi na kwenye mikusanyiko shida kubwa ni pesa za kula na usafiri.kwa maelezo zaidi 0717288306,email <ondoche@gmail.com> mimi sospeter okiri ogiro.

wewe utakuwa timu lowasa maana ndo wanaoamini pasipo kutumia pesa hauwezi kushinda,lkn nakuakikishia kama mtu anaegombea unamuamini kuwa anaweza kufanya yale unayoyataka utaenda mwenyewe kupiga kura pasipo kuangalia nyuma,
 
Mimi naijua sababu ya wewe kutotaka kupiga kura.
Kwani unafikiria ni nini kama sio ujonga uliokithiri kichwani mwako.
 
Mimi sijaukana uTanzania ndugu,, ninafamilia yangu pale DSM, huku niko pekeyangu,, ni ratiba tu imekataa kabisa
 
Usijali kura yangu itakuwakilisha kwa kumpigia kura magufuli nadhani utafurahi na matokeo yake utayaona punde baada ya kuunda baraza lake la mawaziri na kuteua wakuu wa idara mbalimbali pasipo urafiki au mitandao feki ya wasio wachapakazi.mungu ibariki tanzania.
 
mimi sijaukana utanzania ndugu,, ninafamilia yangu pale dsm, huku niko pekeyangu,, ni ratiba tu imekataa kabisa

oke! Usilalamike hakijaribika kitu,tutamchagua magufuli hapo vipi?
 
Pamoja na fumbo lako tutapiga kura badala yako
inaelekea wewe umeshaukana uraia wa Tanzania bakia hukohuko
usituletee balaaa nchini kwetu!

Yaani wewe jamaa koment zako zote ni negative Inaonekana muoga sana wa mabadiliko. Nadhani hofu yako ni kusweka lupango mafisadi mara naada ya octoba 2015
 
Pamoja na fumbo lako tutapiga kura badala yako
inaelekea wewe umeshaukana uraia wa Tanzania bakia hukohuko
usituletee balaaa nchini kwetu!

Mkuu acha hasira.. fumbo ni kwamba msiwachague wenye mawaa ... na msisingizie watu mawaa wasio nayo ni dhambi kumsemea mtu uongo.... mwende kwenye ballot mkiwa na nia safi... upinzani mpo!!
 
Yaani wewe jamaa koment zako zote ni negative Inaonekana muoga sana wa mabadiliko. Nadhani hofu yako ni kusweka lupango mafisadi mara naada ya octoba 2015

Mimi ni mwana mabadiliko
Nachukia sana wanafiki na waongo
wanaodanganya watu wakati na wao ni wapuuzi tu!
 
Mkuu acha hasira.. fumbo ni kwamba msiwachague wenye mawaa ... na msisingizie watu mawaa wasio nayo ni dhambi kumsemea mtu uongo.... mwende kwenye ballot mkiwa na nia safi... upinzani mpo!!

Kwi kwi kwi kamanda naona
unasimamia shoo! Hao tutapiga badala yao acha wachangie
uchumi wa ulaya tu!
 
Back
Top Bottom