Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 812
- 888
Ndugu umewaza vema tatizo ni kubwa dad sijui watoto wetu watakiwa ktk Hali ganiKipato kimekuwa cha shida sana siku hizi tofauti na zamani kila mtu anatoka kutafuta hela watoto wanabaki wenyewe ni mungu tu ndo atakiokoa kizazi hiki ila kimeshapotea tayari.
Hivi wale kina Bushman walikuwa wanavaa kwa kujisitiri..?Na wanawake wanatembea uchi sana miaka hii... Ni chukizo
Kwahiyo unataka kusema miaka ile level ya kistaarabika na sasa ni sawa.Hivi wale kina Bushman walikuwa wanavaa kwa kujisitiri..?
Ukisema uchimbe Sana haya maswala ya uvaaji utakuja kujua huko zamani walikuwa wanakaa utako njenje!
Nataka kusema kukaa uchi ni asili yetu hivyo asishangae sana haya mambo yanaunyama wake na unyama wenyewe ndo kina sisi na sisi ndo wakuyaenzi.Kwahiyo unataka kusema miaka ile level ya kistaarabika na sasa ni sawa.
Tunashukurutatizo ni wale watoto wa masingle mother wamekuwa wakubwa
Na ni sisi tumempa nafasiShetani sahivi ashaishinda dunia
Ova
Chukizo, hakikaNa wanawake wanatembea uchi sana miaka hii... Ni chukizo