Bora umwambie mapema, coz itamuuma zaidi ukimuweka wazi na wakati huo umeshampotezea muda wake mwingi tu. ingawa hata sasa ataumia ila at least baada ya muda atarecover.
Ila wewe pia uache tabia ya kukurupuka ndugu!!sasa ukienda huko marekan kama ni kweli ndo ukapagawe zaidi uchezee akili na hisia za wadada uone watakavyokutungua shaba!
Ila wewe pia uache tabia ya kukurupuka ndugu!!sasa ukienda huko marekan kama ni kweli ndo ukapagawe zaidi uchezee akili na hisia za wadada uone watakavyokutungua shaba!