Sijielewi

Dada yangu pole sana. Nimesoma maelezo yako na kugundua jambo fulani, yawezeka ikawa ngumu wewe kulitambua. Wako wengi walioumizwa kama wewe, na wengi wanaona haibu kujilipua kwa sababu nafsi inawasuta. Lamuhimu ni kujipanga upya, kwani tayari umeisha gongwa na nyoka, tena mwenye sumu kali, kwa sasa UKIGUSWA NA JANI TU...
 
Mungu pekee anayetuwazia mema anajua ni lini atakupatia mwenza wako so ishi inavyompendeza Mungu jaribu kushika neno lake na kulitii! Yeye peke yake ndio msaada wako! Atakufundisha ni wapi umekosea na ufanye nn ili ujirekebishe! Kuw na imani na usonge mbele.Jaribu kuhudhuria kwenye seminar za vijana kwenye makanisa utajifunza maisha ya ujana na Changamoto zake. Kingine kama unasoma soma kwa bidii au ni kazi fanya kazi kwa bidii usiangalie wapi ulipoangukia mtazame Yesu kristo mshauri mkuu anajua Mawazo yako na atakusaidia, you are so beautiful you deserve much better!
 

...samahani,(km ni mkristo)naomba ukaombewe....
 
Live long snowhite, umesema vizuri sana, asante.
 
Mapenzi hayana formula jamani. Cha msingi kwa sasa usifanye maamuzi yoyote ya mausiano tulia kwanza cse stress zinachangia kufanya maamuzi yasiyo sahihi.

Na tunapo anzisha mausiano kila mtu anakua na mtazamo tofauti possibly ukawaza ndoa lkn mwenzako akawa ki ngono zaidi. Usikate tamaa cse ujaumbwa kwa bahati mbaya package yako ipo.
 
Thread ndefuuu nimeshindwa kusoma jalibu kuifupisha.... I love u
 
Pole sana, Nyani mzee amekwepa mishale mingi sana!
 
Safari hii na mimi unipe tu, mana unaonyesha unapenda sana kamchezo :biggrin1:

Afu unajiuliza kama umekuwa cheaper, hapo sasa ndo lazima ufikiria sana.
 
Nahisi kuna mtu unataka kumrithi, maana dalili zote naziona, ngoja nkachukue ushauri kwa Kongosho!

nani tena huyo anadalili za kurithiwa nami!
binamuyo anaweza kutoa ushauri kama wa mganga wa kienyeji shaurilo!af jana kunichomesha mahindi na urembo wanhu wote huu kisa na mkasa!utaijutia ile nafasi!miwani ile!
 
hahahahah....nimechaka mpaka basi....inaelekea wewe wenzio walikuwa wanakuona kama demu wakugegeda tuu. u were basically a sexmate to them. alafu wewe care za mwanaume sio bure lazima uliwe K chezea mwanaume wa kweli nini. mwanaume wa kweli ukila hela yake ujue lazima akugegede tuu
 

nakushukuru kwa ushauri wako nitaufanyia kazi.
 

Nashukuru kwa ushauri wako, hakika nimefarijika kwa kiasi kikubwa. Barikiwa na Bwana.
 

Nashukuru kwa ushauri. z
 
Kwa Yesu kuna raha ya ajabu vitu vyote vizuri twapata kwake pamoja na mume bora! Barikiwa Dada mrembo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…