Women with hobbies za kiume za kutafuta pesa na kupambana always get problems to be loved......men prefer typical girls who speak softly who ur ofenly emotion easy feelings can shed tears even on petty issues, strong en understanding women are ment for development not love,Hello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
Jifunze kujipenda mwenyewe itakusaidia sana then anza sasa kuwa wewe romantic my dear kingine kuna wanaume wakogo hvyo aseehh!hawanaga huo muda wa kuonesha hayo mapenzi live but deep inside wanapenda kweli,mapenzi ni zaidi ya hizo show off za good morning ,umekula n.k,angalia mazuri yake anakuhudumia,anajali utu wako,is he there for you when ukimhitaji?kama vyote afanya baasi mvumilie tu my dear
Maana waweza tamani hayo malove love ya msg kumbe hana lolote wala hana mapenzi ya kweli!
Wanadamu tumeumbwa tofauti maisha ni zaidi ya hvyo vitu!
Umeongea vyema,nishawahi kuwa na mtu wa hivyo Hana muda wa porojo,eti umekunywa chai?Umeenda lunch?Yaani matendo yake yanatosha kukueleza jamaa anakupenda na?kukujali.Jifunze kujipenda mwenyewe itakusaidia sana then anza sasa kuwa wewe romantic my dear kingine kuna wanaume wakogo hvyo aseehh!hawanaga huo muda wa kuonesha hayo mapenzi live but deep inside wanapenda kweli,mapenzi ni zaidi ya hizo show off za good morning ,umekula n.k,angalia mazuri yake anakuhudumia,anajali utu wako,is he there for you when ukimhitaji?kama vyote afanya baasi mvumilie tu my dear
Maana waweza tamani hayo malove love ya msg kumbe hana lolote wala hana mapenzi ya kweli!
Wanadamu tumeumbwa tofauti maisha ni zaidi ya hvyo vitu!
Sms muhimu ni moja tuu...ya mpesa hizi zingine ni spam tuuUmeongea vyema,nishawahi kuwa na mtu wa hivyo Hana muda wa porojo,eti umekunywa chai?Umeenda lunch?Yaani matendo yake yanatosha kukueleza jamaa anakupenda na?kukujali.Yaani yule msukuma unastukia tu muamala umesoma mida ya lunch,napiga simu kusema Asante msukuma anakupa jibu moja tu,Nenda ukale mama!(in Magufuli voice)jamaniii endelea kubarikiwa msukuma wa Magu.
Kweli usemalo.wanaume hupenda wanawake wenye akili ndogo na tegemezi. . yaani kila kitu hajiwezi mpaka aside.. ukiwa tu unaweza kusimama kupambana wanaume wana inferiority Sana.Women with hobbies za kiume za kutafuta pesa na kupambana are always get problems to be loved......men prefer typical girls who speak softly who ur ofenly emotion easy feelings can shed tear even on petty issues, strong en understanding women are ment for development not love hilo ndo tatizo lako hapo juu
Kabisaaaa..... Ile SMS ili kuwa Ina nutrients zaooote yaani.Sms muhimu ni moja tuu...ya mpesa hizi zingine ni spam tuu
Mercy bwana changamsha penzi hilo...Piga vizinga mixer virungu huyo jamaa wa JF akili imkae sawa.Hello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
Upo naye 10 yrs and now your age is 29 ok yangu ni hayo tu.Hello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
Hamana kitu kama hicho...wanaume tunapenda mwanamke mwenye tako na ambaye anajua kuwa yeye ni mwanamke na anapenda kuwa mke regardless of how many phds u have.Kweli usemalo.wanaume hupenda wanawake wenye akili ndogo na tegemezi. . yaani kila kitu hajiwezi mpaka aside.. ukiwa tu unaweza kusimama kupambana wanaume wana inferiority Sana.
Your point is "unatamani kupendwa na kubembelezwa kama wanawake wengine" Nisawa but kunakitu kinachofanya ujione kama HupendwiHello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanie
Unaeleweka kabisa.Hello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
amina mkuu, una ujumbe mwema na mzuri. Nimejifunza vitu kadhaa.Ila wanawake tunapitia mengi. Usipopendwa lazima ukonde tu hata kama unakula.
Kuna nyakati nilipenda nisipopendwa hadi nikajiona faraaa.
Miaka imeendaa sasa nimekutana na mtoto mmoja wa mama mkwe ahaaaa ana maneno matamu sijawahi ona.
Hizi ndo sms zake za asubuhi.
Good morning my beautiful queen.....
Good morning my love........
You are my everything ๐ etc etc
Mida mida .......atanicheck tena wakati akielekea kazini na kavideo call๐ mwisho naambiwa i really love you๐
Mchana..... baby its lunch time, you need to eat๐คฃ......usisahau kuwa nakupenda.
Jioni........mke wangu ushatoka kazini? Uko wapi?๐ ๐ ๐ hapo ni kuchat chat ujinga ujinga, kuomba ka picha basi kakitumwa kuna tusifa utaambia hata kama ni twa kinafiki lakini naambiwa.......... mke wangu unapemdeza, una rangi nzuri, hujichubui, una guu la bia, you are cute, you are everything i need๐คฃ๐คฃ
.......i will give you everything ๐๐๐๐mmmmh! hapa nachekaga sana kwamba atanipa kila kitu, naishia kujisemea nimepigwa na kitu kizito kichwani.....ila ndo hivyo tena nisikose vyote utu tumaneno tunapunguza ges tumboni.
Usiku naagwa kwa maneno matraamu siku inaisha. Haijarishi ni maneno fake ila naambiwa siku inaisha.
Hapa nimeongelea upande mmoja wa shiling . Msije sema haya maneno ninayala? Nafasi ikipatikanaga huko mbele ntaongeleaga na upande mwingine wa shiling.
Mungu uwalinde wanaume / watoto wa mama wakwe wote wapate hela ya kutuhudumia kwa mawazo , kwa maneno, kwa vitendo na kwa kutimiza wajibu amina.
Wasukuma wana nafasi za pekee mbinguni.Umeongea vyema,nishawahi kuwa na mtu wa hivyo Hana muda wa porojo,eti umekunywa chai?Umeenda lunch?Yaani matendo yake yanatosha kukueleza jamaa anakupenda na?kukujali.Yaani yule msukuma unastukia tu muamala umesoma mida ya lunch,napiga simu kusema Asante msukuma anakupa jibu moja tu,Nenda ukale mama!(in Magufuli voice)jamaniii endelea kubarikiwa msukuma wa Magu.
Umechanganya mambo.Umeongea vyema,nishawahi kuwa na mtu wa hivyo Hana muda wa porojo,eti umekunywa chai?Umeenda lunch?Yaani matendo yake yanatosha kukueleza jamaa anakupenda na?kukujali.Yaani yule msukuma unastukia tu muamala umesoma mida ya lunch,napiga simu kusema Asante msukuma anakupa jibu moja tu,Nenda ukale mama!(in Magufuli voice)jamaniii endelea kubarikiwa msukuma wa Magu.
Nimewai ambiwa nifanye yote lakini nisimkalie kimya..Ila wanawake tunapitia mengi. Usipopendwa lazima ukonde tu hata kama unakula.
Kuna nyakati nilipenda nisipopendwa hadi nikajiona faraaa.
Miaka imeendaa sasa nimekutana na mtoto mmoja wa mama mkwe ahaaaa ana maneno matamu sijawahi ona.
Hizi ndo sms zake za asubuhi.
Good morning my beautiful queen.....
Good morning my love........
You are my everything ๐ etc etc
Mida mida .......atanicheck tena wakati akielekea kazini na kavideo call๐ mwisho naambiwa i really love you๐
Mchana..... baby its lunch time, you need to eat๐คฃ......usisahau kuwa nakupenda.
Jioni........mke wangu ushatoka kazini? Uko wapi?๐ ๐ ๐ hapo ni kuchat chat ujinga ujinga, kuomba ka picha basi kakitumwa kuna tusifa utaambia hata kama ni twa kinafiki lakini naambiwa.......... mke wangu unapemdeza, una rangi nzuri, hujichubui, una guu la bia, you are cute, you are everything i need๐คฃ๐คฃ
.......i will give you everything ๐๐๐๐mmmmh! hapa nachekaga sana kwamba atanipa kila kitu, naishia kujisemea nimepigwa na kitu kizito kichwani.....ila ndo hivyo tena nisikose vyote utu tumaneno tunapunguza ges tumboni.
Usiku naagwa kwa maneno matraamu siku inaisha. Haijarishi ni maneno fake ila naambiwa siku inaisha.
Hapa nimeongelea upande mmoja wa shiling . Msije sema haya maneno ninayala? Nafasi ikipatikanaga huko mbele ntaongeleaga na upande mwingine wa shiling.
Mungu uwalinde wanaume / watoto wa mama wakwe wote wapate hela ya kutuhudumia kwa mawazo , kwa maneno, kwa vitendo na kwa kutimiza wajibu amina.