TANZANNIA
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,047
- 382
Nimewahi kuona binti wa kiswahili 'mtanzania'akiwa ameolewa na mwanaume wa Kihindi mwanaume wa kizungu akioa mwanamke wa Kiswahili, mwanaume wa Kiswahili akioa mwanamke wa Kizungu nk.lakini sijawahi kuona dada wa kihindi kaolewa na mswahili, kwanini ?