Sijawahi kuhonga

Sijawahi kuhonga

Joined
Jul 26, 2015
Posts
49
Reaction score
30
Mara ya mwisho nakumbuka nimemtoa Wifi yenu Out.Tuligawana Majukumu.

Kama mimi talipa nauli basi yeye anunue chakula.

Nashukuru alikuwa muelewa akafanya hivyo.

Hapo mwingine si angegharamikia vyote.


Via Sihongi Mimi
 
we ndorobo kweli, ukiona nyumba inapendeza jua mwenyenyumba ndo anapendezesha
 
Sikumbuki kama sikuwahi kuhonga,yaani mpaka saivi hata nisiyemjua anajua mi muhongaji utasema madem wana x-ray.
 
Nafikiria haijafahamika maana ya kuhonga akilini mwako.
 
Unajidanganya tu, siku ulipohonga hukujua kuwa unahonga ila uliamini unatoa zawadi au unamsaidia tu.
 
bado hujajua maana ya kuhonga ww..kama una akili hiyo kuwa ukimnunulia/kumgharamia my wife/mpnz wako ni kuhonga basi mkeo ana shida sana
 
Mi nakumbuka mwaka 1979 nikiwa Romania nikichukua shahada yangu ya uzamili katika uhandisi umeme nilikuwa nawahonga sana wachuchu wa Kiromania.

Kuna wawili niliwazalisha lakini nikaja kupoteza mawasiliano nao. Watoto niliowacha huko Bucharest walikuwa ni wa kike.

Majuzi hapa wakanitafuta huku JF baada ya kuona ID yangu ya Richard Mugizi wakanitumia PM.

Sikujua kumbe sasa hivi mimi ni babu bana. Nina wajukuu watatu.

Nimefurahi sana kusikia habari kuwa nina wajukuu.😱
 
Mi nakumbuka mwaka 1979 nikiwa Romania nikichukua shahada yangu ya uzamili katika uhandisi umeme nilikuwa nawahonga sana wachuchu wa Kiromania.

Kuna wawili niliwazalisha lakini nikaja kupoteza mawasiliano nao. Watoto niliowacha huko Bucharest walikuwa ni wa kike.

Majuzi hapa wakanitafuta huku JF baada ya kuona ID yangu ya Richard Mugizi wakanitumia PM.

Sikujua kumbe sasa hivi mimi ni babu bana. Nina wajukuu watatu.

Nimefurahi sana kusikia habari kuwa nina wajukuu.😱

1979? shahada ya uzamili? Shikamoo babu.
 
Mi nakumbuka mwaka 1979 nikiwa Romania nikichukua shahada yangu ya uzamili katika uhandisi umeme nilikuwa nawahonga sana wachuchu wa Kiromania.

Kuna wawili niliwazalisha lakini nikaja kupoteza mawasiliano nao. Watoto niliowacha huko Bucharest walikuwa ni wa kike.

Majuzi hapa wakanitafuta huku JF baada ya kuona ID yangu ya Richard Mugizi wakanitumia PM.

Sikujua kumbe sasa hivi mimi ni babu bana. Nina wajukuu watatu.

Nimefurahi sana kusikia habari kuwa nina wajukuu.😱
mkuu vipi kuhusu hao wajukuu..milango ya posa iko wazi
 
Mara ya mwisho nakumbuka nimemtoa Wifi Yenu Out.Tuligawana Majukumu.Kama mimi talipa Nauli basi Yeye anunue chakula,Nashkuru alikuwa muelewa akafanya hivyo.

Hapo mwingine si angegharamikia vyote....!!


Via Sihongi Mimi

Unajisifu.
 
Teh teh teh...yeah....kila mmoja milioni mbili unusu....advansi milioni moja.
teh teh ..basi mi nachukua wote mkuu..ila hakuna biashara ya mali kauli..naona vyombo kwanza ndo natoa mpunga
 
Back
Top Bottom