Nilipokuwa mdogo baba alikuwa akinipenda sana Mimi kuliko ndugu zangu wengine , lakini alinipenda tu na hakuwahi onesha upendeleo wa wazi ..TFF mmefeli katika hili ...huenda timu nyingine za ligi kuu hazina kura ya veto TFF
Nilipokuwa mdogo baba alikuwa akinipenda sana Mimi kuliko ndugu zangu wengine , lakini alinipenda tu na hakuwahi onesha upendeleo wa wazi ..TFF mmefeli katika hili ...huenda timu nyingine za ligi kuu hazina kura ya veto TFF
Unachotaka kusema ni kwamba TFF ilizikataza Azam, Biashara na Yanga kuingiza mashabiki uwanjani (kwenye mashindano ya CAF) ila TFF hiyo hiyo imeziruhusu Azam, Biashara na Simba kuingiza mashabiki uwanjani ?
Unachotaka kusema ni kwamba TFF ilizikataza Azam, Biashara na Yanga kuingiza mashabiki uwanjani (kwenye mashindano ya CAF) ila TFF hiyo hiyo imeziruhusu Azam, Biashara na Simba kuingiza mashabiki uwanjani ?