Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Acha Usalia nenda tu, CDM ina hazina kubwa ya viongozi.
Mwanamke kama hataki basi mwache aendezake.CDM hutakiwi.
Nashangaa hawamkubali Heche, hawamkubali Dr. Slaa lakini hawataki kuhama chama, kama hamtaki tiini hiyo mamlaka iliyo juu yenu kwa manufaa ya taasisi mnayodai mnaipenda chadema, hadi hapo watakapo acha uongozi, bila hivyo mtabakia kuoneka watu wa ajabu tu ndani ya chadema, na mtaisihia kutimuliwa kwa aibu!