Onesmo Nchimbi
Member
- Apr 18, 2017
- 34
- 22
Habari wana JF
Mimi nimeajiriwa na serikali hivyo naona umefika wakati nahitaji nijiendeleze na masomo ya chuo, sasa sijapewa nafasi ya kwenda masomoni na muda naona unazidi kuyoyoma. Naomba nifahamu, naweza kusoma huku nikiendelea na kazi au haiwezekani?
Mimi nimeajiriwa na serikali hivyo naona umefika wakati nahitaji nijiendeleze na masomo ya chuo, sasa sijapewa nafasi ya kwenda masomoni na muda naona unazidi kuyoyoma. Naomba nifahamu, naweza kusoma huku nikiendelea na kazi au haiwezekani?