Fede Masolwa
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 528
- 123
Amina mkuuHaters hawakosekani mkuu,,usiumie sana BBC wameonesha speech yote ya Rais,and am proud of my country.Rais ametuwakilisha vizuri sana.
rais wangu wakati anatoa speech ikiwainaendelea wakamkata na kuamia soweto na kuoji watu tu, imenikela sanaa kwani rais wangu afanyiwe hivyo wakat wote walioto speech ilikuwa hawakati na CNN nao waliama, imeniuma sanaaa sasa kamaliza wamerudi ndani tena qunu
Aljazera wanamwangusha muislam mwenzao, nimeshangaa sana.
Ndiyo maana nikiona mtu anahangaika na Man. City sijui Arsenal huwa ninamuona hana akili kabisa.
Aljazera wanamwangusha muislam mwenzao, nimeshangaa sana.
Ndiyo maana nikiona mtu anahangaika na Man. City sijui Arsenal huwa ninamuona hana akili kabisa.
DSTV channel 199 official feed, haina chenga wala mkato mkato
Sasa haoHata citizen tv, na kbc nao walifanya mchezo kutokuonyesha hotuba ya Jk live