Fede Masolwa
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 528
- 123
rais wangu wakati anatoa speech ikiwainaendelea wakamkata na kuamia soweto na kuoji watu tu, imenikela sanaa kwani rais wangu afanyiwe hivyo wakat wote walioto speech ilikuwa hawakati na CNN nao waliama, imeniuma sanaaa sasa kamaliza wamerudi ndani tena qunu