Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
Ndugu, Mwezi huu nawa kumi sijawai hona au kusikia kila mtu akisema hali mbaya sana.
UKATA, huu nimeufanananisha na Mamba kutoka majini na kwenda nchi kavu kula majani.
Jpili moja nimetoka kanisani napokea msg tatu za jamaa tofauti wakiomba niwatoe wakipata watarejesha,wakwanza laki 3,wapili laki2 na mwisho laki 2na nusu nikashangaa kwa sababu nami nilitaka niwakope nikawajulisha kwangu hali tete.
Kazi kila mtu anakimbilia kwa cashier kuomba advance waliyokuwa na mikopo ofisini wanalia kilio.
Kadri siku zinavyozidi hali ndo hiyo kila mtu analia tena sana anauliza hivi kuna nini mbona sielewi.?
Jamaa yangu anafanya kazi bank kitengo cha mikopo akanieleza,mkuu ali ni tete sijui itakuwaje watu awarejeshi kasiba mikopo,ukimpigia simu na kuja akifika ni sababu kibao,mabosi awaelewi wanataka tuwafatilie sasa kazi ngumu ajapata kuona.
WANAJF, Hali hii ni sawa na mamba kula majani,
UKATA, huu nimeufanananisha na Mamba kutoka majini na kwenda nchi kavu kula majani.
Jpili moja nimetoka kanisani napokea msg tatu za jamaa tofauti wakiomba niwatoe wakipata watarejesha,wakwanza laki 3,wapili laki2 na mwisho laki 2na nusu nikashangaa kwa sababu nami nilitaka niwakope nikawajulisha kwangu hali tete.
Kazi kila mtu anakimbilia kwa cashier kuomba advance waliyokuwa na mikopo ofisini wanalia kilio.
Kadri siku zinavyozidi hali ndo hiyo kila mtu analia tena sana anauliza hivi kuna nini mbona sielewi.?
Jamaa yangu anafanya kazi bank kitengo cha mikopo akanieleza,mkuu ali ni tete sijui itakuwaje watu awarejeshi kasiba mikopo,ukimpigia simu na kuja akifika ni sababu kibao,mabosi awaelewi wanataka tuwafatilie sasa kazi ngumu ajapata kuona.
WANAJF, Hali hii ni sawa na mamba kula majani,