The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,995
- 13,512
Hakujua kuwa SISIEM si tu matapeli, bali ni Ma-Instructors wa utapeli.Alidhani angewatapeli CCM asijue ni magwiji katika jinai hii.
Umeandika kama mpumbavu wa wapumbavu.....he is coming back for you in few daysView attachment 3442704
Baada ya domo lake kumponza, sasa Gwajima anatapatapa na kutafutwa kuonewa huruma. Anabwabwaja akidhani watu wote ni mazwazwa kama yeye. Anasema hili leo na kesho lile. Anajipiga mitama mwenyewe. Sasa acha akione cha moto na asionewe huruma wala kuaminiwa. Alidhani angewatapeli CCM asijue ni magwiji katika jinai hii.
New member......pumbavu zenuAskofu ambaye ni mwizi aliyeiba kura kawe hana mamlaka ya kuwaamulia Watanzania.
Watakimbizwa mchaka mchaka, mwendo wa mbwa ulimi nje.Huu mwaka Somalia ndo mahala penu salama ni mwendo wa Spana kila kukicha.....
Anatingisha ugali wa watu.Gwajima kahoji kuhusu watekaji ,kwani kibaya ni kipi hapo?
Jinga wwView attachment 3442704
Baada ya domo lake kumponza, sasa Gwajima anatapatapa na kutafutwa kuonewa huruma. Anabwabwaja akidhani watu wote ni mazwazwa kama yeye. Anasema hili leo na kesho lile. Anajipiga mitama mwenyewe. Sasa acha akione cha moto na asionewe huruma wala kuaminiwa. Alidhani angewatapeli CCM asijue ni magwiji katika jinai hii.
View attachment 3442704
Baada ya domo lake kumponza, sasa Gwajima anatapatapa na kutafutwa kuonewa huruma. Anabwabwaja akidhani watu wote ni mazwazwa kama yeye. Anasema hili leo na kesho lile. Anajipiga mitama mwenyewe. Sasa acha akione cha moto na asionewe huruma wala kuaminiwa. Alidhani angewatapeli CCM asijue ni magwiji katika jinai hii.
Safari hii kazi mnayo. Huku Polepole, huku Gwajima, kule nako kuna Mpina! Si mlifikiri mkimfunga Lissu na kuizuia Chadema kufanya shughuli zake za kisiasa mtapata mteremko?View attachment 3442704
Baada ya domo lake kumponza, sasa Gwajima anatapatapa na kutafutwa kuonewa huruma. Anabwabwaja akidhani watu wote ni mazwazwa kama yeye. Anasema hili leo na kesho lile. Anajipiga mitama mwenyewe. Sasa acha akione cha moto na asionewe huruma wala kuaminiwa. Alidhani angewatapeli CCM asijue ni magwiji katika jinai hii.