mkuu wakati tunaoana ye alikuwa amemaliza Masters na alikuwa amekusanya senti na kujenga bonge la hausi Njiro Arusha.. . .
Mie nilikuwa na nyumba maeneo ya kijitonyama lakini haikuwa kubwa kama yake. Tukakubaliana kuiuza ili tununue usafiri pamoja na miradi flani ya maendeleo. Mie kwa sasa sina nyumba, ila nilinunua kiwanja Moshono Arusha pamoja na Kingine Kidogo maeneo ya Wazo. .
Tunaishi kwenye nyumba ya wife, japo hajawahi kuninyanyasa wala kuringa. Ananipenda, tunapendana, tunaaminiana, ila hili la juzi limebadilisha kabisa mtizamo wangu kwake!
Calnde kama unamfahamu vema mkeo basi unayo haki ya kumtilia mashaka kwa reaction yake; mimi wangu alikuwaga na tabia ya kumsema mtoto mara oh hii pua mbona kama si yangu; oh mbona sura kama Mahita yaani ilimradi tu lazima amseme. Mimi nilikuwa naona ni utani tu but kuna siku alifululiza tangu asubuhi akitoa accusations zake nikampa jibu moja tu aende akacheck DNA. Sasa sijui kama alicheck kisiri au la sikumsikiaga tena.
Sasa wewe kama ni mara yako ya kwanza kujoki hivyo na mama amereact hivyo pengine ni kwa vile hajawahi kukusikia ukisema hivyo ndo mana kachukia lakini pia pengine kuna jambo?
Ushauri: Anza kuchunguza sura, maungo na vinasaba onyeshi kuona kama anaresemble na wewe! Ukishaona japo kimoja (hata kama ni rangi ya nywele) unafanana naye ridhika funga file ila na kama hutakiona basi amini mnafanana utumbo au kisogo so songa mbele mambo ya DNA yatakuchanganya bure kaka yangu achana nayo!
Hata siku moja sijawahi kumsikia mtuu akisema amefanana na baba yake. . .
Hapo mkuu basi huna budi kujishusha kwa kila jambo piga moyo kondo mzee usije ukaibua mambo mengine ikawa ishu home na chakula cha usiku ukawa una nyimwa.
Unaniumiza kichwa sasa Calnde mtoto amefanana na nani na Baba au mama? Au mjomba au bibi au babu au binamu hii sura ya mtoto imeenda ukweni au kwenu?
Dah, kweli mwanaume lazima awe na kwake! Imagine toka hiyo issue itokee hataki hata nimshike, nikipima akigundua si ndo ananisuspend.. .
pls don tel me that,
miaka nane yote hiyo unataka kuniambia nini
God forbid jamani
Hapo sasa amevuka mpaka mkalishe chini kiume mlizungumzie na umpe mashaka yako yote kama ulivyoyaleta hapa na akizidi kuja juu mwambie unakwenda kucheck DNA ili kujua ukweli kwa sababu huelewi kinachomkasirisha wakati ushaomba msamaha na isitoshe ulimwambia mtoto katika hali ya kumkataza kufanya utundu si kwamba umemwambia mtu baki! So asilete mashauzi yake
Pole sana Mkuu, hukusema kwa nia mbaya lakini kuna maeneo mengine ambayo huyagusi kabisa katika kauli zako ama yanaweza kuleta kasheshe ndani ya nyumba. Sasa umeshakuwa na wasiwasi endelea tu kumuomba msamaha mwenzao maana kauli yako imemuumiza.
Naona Calnde hofu yako kubwa ni kwamba unaonyesha hofu flani hivi kwa vile upo kwake lakini sometimes lazima utumie kibase ukiwa kama mwanaume
Calnde kama unamfahamu vema mkeo basi unayo haki ya kumtilia mashaka kwa reaction yake; mimi wangu alikuwaga na tabia ya kumsema mtoto mara oh hii pua mbona kama si yangu; oh mbona sura kama Mahita yaani ilimradi tu lazima amseme. Mimi nilikuwa naona ni utani tu but kuna siku alifululiza tangu asubuhi akitoa accusations zake nikampa jibu moja tu aende akacheck DNA. Sasa sijui kama alicheck kisiri au la sikumsikiaga tena.
Sasa wewe kama ni mara yako ya kwanza kujoki hivyo na mama amereact hivyo pengine ni kwa vile hajawahi kukusikia ukisema hivyo ndo mana kachukia lakini pia pengine kuna jambo?
Ushauri: Anza kuchunguza sura, maungo na vinasaba onyeshi kuona kama anaresemble na wewe! Ukishaona japo kimoja (hata kama ni rangi ya nywele) unafanana naye ridhika funga file ila na kama hutakiona basi amini mnafanana utumbo au kisogo so songa mbele mambo ya DNA yatakuchanganya bure kaka yangu achana nayo!
huyu shem wangu nae alikuwa anataka afanane na mtoto mpaka ulimi? kama alienda kumpima kimya kimya bila kukushirikisha cku ukijua/hakikisha utalichukuliaje?...
Hapo sasa amevuka mpaka mkalishe chini kiume mlizungumzie na umpe mashaka yako yote kama ulivyoyaleta hapa na akizidi kuja juu mwambie unakwenda kucheck DNA ili kujua ukweli kwa sababu huelewi kinachomkasirisha wakati ushaomba msamaha na isitoshe ulimwambia mtoto katika hali ya kumkataza kufanya utundu si kwamba umemwambia mtu baki! So asilete mashauzi yake
Lakini na kina baba muwe mnachagua maneno ya kuwambia watoto. hivi unavyomwambia mtoto utadhani we si mwanangu una maana gani, that is a kid for god's sake, why would you use such language in front of the kid?Ni jioni, tumepumzika, na mpenzi wangu, mke wangu,katoto ketu ka miaka nane katundu kweli. Basi kanaleta utundu wake, nakafokea, kanazidi, nikakasirika na kukaambia 'we mbona mtudu hivyo, utadhani sio mwanangu?'
duuh, nikawa nimeharibu, wacha mama yake awake, unadhani wa nani. huniamini ee? akaendeleza maneno kibao ya malalamiko, toka juzi amekasirika. Nimemwomba samahani, kakubali, lakini bado kakasirika kwa msemo wangu.
wadau napata mashaka,simwelewi, mbona kakasirika?
Lakini na kina baba muwe mnachagua maneno ya kuwambia watoto. hivi unavyomwambia mtoto utadhani we si mwanangu una maana gani, that is a kid for god's sake, why would you use such language in front of the kid?