Red Scorpion JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 5,736 Reaction score 4,254 Oct 10, 2017 #1 *TUNATOFAUTIANA* ... Kuna watu wanaamka asubuh cha kwanza wanakuta sms ya; *I LOVE YOU BABY!* Na kuna watu wakiamka wanakutana na; *BATTERY FULL REMOVE YOUR CHARGER!* Sijakutaja lakini....
*TUNATOFAUTIANA* ... Kuna watu wanaamka asubuh cha kwanza wanakuta sms ya; *I LOVE YOU BABY!* Na kuna watu wakiamka wanakutana na; *BATTERY FULL REMOVE YOUR CHARGER!* Sijakutaja lakini....
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,159 Reaction score 72,199 Oct 10, 2017 #2 Mkuu mi niko kwenye BATTERY FULL
issa mweusi JF-Expert Member Joined May 31, 2015 Posts 1,477 Reaction score 1,139 Oct 10, 2017 #3 Hata mm battery full 100%
Tajiri Kichwa JF-Expert Member Joined Apr 2, 2017 Posts 9,020 Reaction score 22,078 Oct 10, 2017 #4 Yote maisha sababu baada ya hapo unakuta txt nyingi baby jion wapi leo , ni kujipigia vipande tyu.
Pracho Senior Member Joined Jun 25, 2017 Posts 108 Reaction score 74 Oct 10, 2017 #5 Joseverest said: Mkuu mi niko kwenye BATTERY FULL Click to expand... ahahhahahahhahaa ww fala kila mahali upo aiseeee
Joseverest said: Mkuu mi niko kwenye BATTERY FULL Click to expand... ahahhahahahhahaa ww fala kila mahali upo aiseeee
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,159 Reaction score 72,199 Oct 10, 2017 #6 Pracho said: ahahhahahahhahaa ww fala kila mahali upo aiseeee Click to expand... Asante kwa kuniita fala
Pracho said: ahahhahahahhahaa ww fala kila mahali upo aiseeee Click to expand... Asante kwa kuniita fala
U uajekundu JF-Expert Member Joined Jan 14, 2016 Posts 541 Reaction score 461 Oct 10, 2017 #7 Hivi bado kuna watu wana mambo ya bebi.... mi nawaza kusaka mahela nile zangu maisha....mabebi wamenishindaga
Hivi bado kuna watu wana mambo ya bebi.... mi nawaza kusaka mahela nile zangu maisha....mabebi wamenishindaga
Mgodo visa JF-Expert Member Joined Nov 1, 2016 Posts 3,589 Reaction score 3,639 Oct 10, 2017 #8 Pracho said: ahahhahahahhahaa ww fala kila mahali upo aiseeee Click to expand... Mtake Radhi kijana mwenzio kama unaamini Uungwana ni Vitendo...!!
Pracho said: ahahhahahahhahaa ww fala kila mahali upo aiseeee Click to expand... Mtake Radhi kijana mwenzio kama unaamini Uungwana ni Vitendo...!!
The Dark Father JF-Expert Member Joined Oct 9, 2017 Posts 1,144 Reaction score 1,410 Oct 10, 2017 #9 Mi nakuta battery full remove your charger, message ya ofa za mb na missed call ya tangazo la tigo. Najiuliza, hivi, yaan ndo ujana umeisha kama hivyo?
Mi nakuta battery full remove your charger, message ya ofa za mb na missed call ya tangazo la tigo. Najiuliza, hivi, yaan ndo ujana umeisha kama hivyo?
Nsato Master Plan Member Joined Jun 30, 2017 Posts 69 Reaction score 21 Oct 11, 2017 #10 Duh lakin mim huku battery low japokuwa nisha tumiwa I LOVE YOU MY BABY na MAMA yangu kipenzi
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,402 Oct 11, 2017 #11 Hiyo I love you baby ina gharama na presha zake. Hapo hapo chini utakuta mlolongo wa shida kibao. Nachagua Battery full kwa kweli
Hiyo I love you baby ina gharama na presha zake. Hapo hapo chini utakuta mlolongo wa shida kibao. Nachagua Battery full kwa kweli
PAGAMECO JF-Expert Member Joined Jul 8, 2016 Posts 1,206 Reaction score 1,237 Oct 11, 2017 #12 Today Is John Birthday From FACEBOOK Full Battery.