Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Asalaaam Aleykhum waungwana!
Nimekuwa nafatilia budget ya mwaka huu nimegundua kila mwaka kodi ya vileo huwa inapanda ikiwa ni kama namna serikali yetu inaweza ongeza kipatp chake ili iweze kutumikia wananchi wake. Kuna vyanzio vingi vya kodi lakini haona hawa wenzetu serikalini bado wamelala kila siku wanaongeza misamaha ya kodi. Kwa kuwa hili ni taifa la walevi na wavuta sigara basi kuanzia leo naaacha kunywa vileo vya pombe kali pamoja na sigara ikiwa ni kama shinikizo kwa serikali itafute njia mbadala.
No sigara no kulewa
Mch Masa
Nimekuwa nafatilia budget ya mwaka huu nimegundua kila mwaka kodi ya vileo huwa inapanda ikiwa ni kama namna serikali yetu inaweza ongeza kipatp chake ili iweze kutumikia wananchi wake. Kuna vyanzio vingi vya kodi lakini haona hawa wenzetu serikalini bado wamelala kila siku wanaongeza misamaha ya kodi. Kwa kuwa hili ni taifa la walevi na wavuta sigara basi kuanzia leo naaacha kunywa vileo vya pombe kali pamoja na sigara ikiwa ni kama shinikizo kwa serikali itafute njia mbadala.
No sigara no kulewa
Mch Masa