Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,575
- 31,012
Huyu kiongozi ana weredi na haiba ya kutosha, ni mfano bora kwangu kiongozi inabidi awe mnyenyekevu asiyependa makuu, SAID MTANDA sio mla rushwa kama amewahi kufanya hilo basi alikuwa hajui kuwa ni mla rushwa.
Said Mtanda pokea heshima yako umekuwa mfano bora sana kwangu shida yako ni moja tu upo kwenye chama cha waovu, wala rushwa na wasio na utu.
Sitasahau Ile siku nilipokamatwa na wahuni watoza ushuru niwahonge million moja ili nipitishe gunia zangu mia mbili za tumbaku wewe ukasema mwacheni kijana aitafute kesho yake, mwacheni kabisa ilikuwa urambo tabora mwaka juzi.
Said Mtanda pokea heshima yako umekuwa mfano bora sana kwangu shida yako ni moja tu upo kwenye chama cha waovu, wala rushwa na wasio na utu.
Sitasahau Ile siku nilipokamatwa na wahuni watoza ushuru niwahonge million moja ili nipitishe gunia zangu mia mbili za tumbaku wewe ukasema mwacheni kijana aitafute kesho yake, mwacheni kabisa ilikuwa urambo tabora mwaka juzi.