Siibiwi kweli?

Mnajua hiyo miaka saba imefikaje?
Nilianza nae akiwa kidato cha pili, akamaliza kidato cha nne hakufaulu, nikamshauri arudie, akarudia mtihani lakini pia hakupata credit, nikamshauri akasomee clearing and forwarding miaka miwili, jumla mingapi hapo? 6.(Sita)
Mwaka uliopita amepata kazi, nikamwambia anipeleke kwao nikajitambulishe, nimepigwa chenga, mwaka huu mara ya mwisho kuonana nikamueleza nia yangu kwamba mwakani Mungu akipenda tungefunga ndoa, yaani utafikiri ndio nilimuambia kwaheri.
Hiyo ndio miaka Saba sasa. Kuna lingine?
 
Miaka saba yote kwanini usimwoe mtoto wa watu?kashastuka uchumba gani kama mnasomea udaktari

Mnajua hiyo miaka saba imefikaje?
Nilianza nae akiwa kidato cha pili, akamaliza kidato cha nne hakufaulu, nikamshauri arudie, akarudia mtihani lakini pia hakupata credit, nikamshauri akasomee clearing and forwarding miaka miwili, jumla mingapi hapo? 6.(Sita)
Mwaka uliopita amepata kazi, nikamwambia anipeleke kwao nikajitambulishe, nimepigwa chenga, mwaka huu mara ya mwisho kuonana nikamueleza nia yangu kwamba mwakani Mungu akipenda tungefunga ndoa, yaani utafikiri ndio nilimuambia kwaheri.
Hiyo ndio miaka Saba sasa. Kuna lingine?
 
Mwenzangu tena huyo una bahati hata anakudanganya,mie ungenisikia redioni... kwa ufupi kakuona hulipi kwake miaka inaenda wewe hutaki kuamua unataka kuonja onja tuu jumla huchukui.... na wewe mwenyewe iyo miaka 7
 

natola! leo nimekupenda bure kumbe kuna wanaume wana akiri da matola...itika bas
 
Miaka saba toka secondary school ama mmekuwa hivyo kila mtu na mishemishe zake?? Huyo demu ni MJAMZITO full stop. Angalia pengine mkuu hauko serious seven years holding someone for nothing.! What u wanted to prove? ? Ciao
 
Matola bora hata ulivosusa kumalizia kusoma uzi, mii nimemaliza kuusoma, ni kama ulijua, najutia muda wangu, ulikuwa sahihi kutosoma mpaka mwisho!
 
Last edited by a moderator:
matola agiza chochote unachokunywa bili yote juu yangu.... i like this
 


Una date na watoto wadogo??
 
wewe ndo mwizi yaniii.. "bring back our gal" miaka 7 dadako huyo?, hujachumbia hata, mwache hata kama kadanganywa na huyo jamaa aliyenaye saiv ni haki yake,,, huna future wewe tchaa hadi ashakuchoka
 

Yani wewe hulioni tatizo hapo? Basi una kichwa kigumu sana na sijui kama utapata mwanamke muelewa kama huyo ambaye kimsingi si wako tena kuna mwanaume bora zaidi yako amecover nafasi.

Kuwa mpole kubali matokeo pangusa vumbi anza upya ukimpata mwingine kama mtapendana wote owa fasta maana umeshajiandaa kuowa tayari hakuna visingizio tena.
 
mmh boko haramu, you want to bring back that girl?
akikurudia lazma atakuwa fyatu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…