Sihesabiwi Mpaka Nilipwe

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,983
12,703
Hii sensa ya mwaka huu sidhani kama itakuwa na mafanikio maana kuna changamoto kibao. Nimekuta jamaa fulani wakihamasishana familia zao zisihesabiwe mpaka na wao walipwe, kisa makarani wa sensa mbona wanalipwa?
 
Iseee baba yangu mi nawasi wasi na hawa makarani inaweza ikafika siku ya kuhesabu watu nao wakagoma wakidai posho ya kufanya kazi mazingira magumu

mbege yandu ananituma nisihesabiwe
 
Hivi sensa ya mwaka huu ina tofauti gani na zilizopita? Toka tupate uhuru hii itakuwa sensa ya nne au ya tano na huko nyuma watu walihesabiwa bila matatizo. Tena makarani walikuwa ni wanafunzi wa shule za sekondari. Mwaka huu sensa imefanywa kama vile ni kitu kipya. Naweza kutowashangaa vijana ambao hii ndiyo sensa yao ya kwanza lakini kwa watu wazima kuhojihoji na madai yasiyo na msingi ni ujinga.
 
Hivi sensa ya mwaka huu ina tofauti gani na zilizopita? Toka tupate uhuru hii itakuwa sensa ya nne au ya tano na huko nyuma watu walihesabiwa bila matatizo. Tena makarani walikuwa ni wanafunzi wa shule za sekondari. Mwaka huu sensa imefanywa kama vile ni kitu kipya. Naweza kutowashangaa vijana ambao hii ndiyo sensa yao ya kwanza lakini kwa watu wazima kuhojihoji na madai yasiyo na msingi ni ujinga.
Hata mimi nashangaa sensa ya mwaka huu sijui ni vipi, watu wanaichukulia kama kitu kipya. Tusubiri tuone mwisho wake.
 
Iseee baba yangu mi nawasi wasi na hawa makarani inaweza ikafika siku ya kuhesabu watu nao wakagoma wakidai posho ya kufanya kazi mazingira magumu

mbege yandu ananituma nisihesabiwe
Malalamiko hayatokosekana hasa hao makarani baada ya sensa utasikia.
 
Back
Top Bottom